Hivi ndivyo Mbowe alivyotinga kwenye Msiba wa Lowassa, aingia akiwa amevaa kombati

Huna akili ?
Ndio sera mliyo baki nayo Wana CHADEMA?

Yani yoooote, umechagua kupima akili yangu. 😅 🤓Sasa unafikiri ukitukana, wewe zako zitaongezeka mkuu.

Nachelea kusema huo 'Utajiri' wako, ninutajiri wa Matusi. Calm down bro.

Mnakiua chama cha CHADEMA wajameni. Walahi
 
Umeulizwa kama una akili timamu , kwa sababu , Salum Mwalimu alikwenda kwenye msiba huo bila kombati , kwanini unahoji Lissu kuvaa Suti ?
 
Nyumbu wamesahau kwamba walimuorodhesha kwenye list of shame na kumtukana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…