Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Cassnzoba

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
3,661
Reaction score
6,913
Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway, straight to the point πŸ‘‰ Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..

Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,

je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
 
Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway, straight to the point πŸ‘‰ Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..

Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,

je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Sijaufaham Bado.....
 
Kuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008
 
Uzi wa kula tunda kimasikharaπŸ˜‡, hatare sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aiseee
Nilijiunga kupitia ka nokia c3, nilikua napenda kujifunza maswala ya imani kwa kugoogle swali majibu yanakuja yananielekezea jforum..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi ilikua masuala Ya teknolojia Sana tena mambo ya simu
 
Kuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008
Aisee ulianza kuutumia kitambo kweli MauiπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜Ž
 
Mimi sikumbuki Ila nikwasababu ya hulka yangu ya kutoka kujuajua vitu.
Nafikiri nimejifunza negative aspects nyingi kuliko positive kwenye mitandao.

Mfano Kuna Uzi ukiusoma unajiona we huna kipya Cha maana na unashawishika kujaribujaribu vitu Kama kula tunda kimasihara, na masuala ya Imani πŸ˜„.

Kuna kipindi niliwai mtongoza lecture wangu sababu ya nyuzi Kama hizo dah πŸ˜€πŸ˜€
 
N
Mimi sikumbuki Ila nikwasababu ya hulka yangu ya kutoka kujuajua vitu.
Nafikiri nimejifunza negative aspects nyingi kuliko positive kwenye mitandao.

Mfano Kuna Uzi ukiusoma unajiona we huna kipya Cha maana na unashawishika kujaribujaribu vitu Kama kula tunda kimasihara, na masuala ya Imani πŸ˜„.

Kuna kipindi niliwai mtongoza lecture wangu sababu ya nyuzi Kama hizo dah πŸ˜€πŸ˜€
Niliwai pia kuishi bila Imani yoyote maana niliona Haina maana . Ila JF buana 😁
 
Back
Top Bottom