ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hongera post yako mpaka ame I like boss Maxence Melo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi. Na ujumbe wangu wa kwanza nilireply kwenye thread fulani hivi.Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. 😂😂😂
Anyway, straight to the point 👉 Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..
Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,
je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Wabarikiwe sana na naona ni platform nzuri inayokua kwa kasi Sana sikuiziHata mimi. Na ujumbe wangu wa kwanza nilireply kwenye thread fulani hivi.
Nilikuwa navutiwa sana na mijadala kila nikisoma wakati wa kutafuta taarifa fulani google. Nikaona bora nijiunge. Na hadi sasa, haiwezi kupita siku sijaingia JF. Hongera kwa waanzilishi wa jf
Sio poa aisee 😄😅😅😅
Yaaani walikugeuza hadi imani daah
Jamiiforums ipewe maua yake
Nani alikuonesha lo mule ilikua huingii bila ridhaa ujuee!! Umetishaaa 😊😊
Hahaha... Nilipewa ridhaa...Nani alikuonesha lo mule ilikua huingii bila ridhaa ujuee!! Umetishaaa 😊😊
Lakini najuta najuta najuta najuta kujoin Bora ningeendelea kuona tu huko GoogleKumbe kama mimi ila ME nilianza kutumia website kwanza kabla ya App yenyewe
Kupitia page yao ya Facebook, nilipokuwa nasoma habari iliyopostiwa then naambia soma zaidi (link), nilipofungua link nikakuta watu wanajadili, nilipotaka nami kutia neno nikaambia jisajili kwanza ndio nikajisajili.Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Anyway, straight to the point [emoji117] Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..
Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,
je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Ukawa unanitag namie ilhali mi sikuwepo huko finally ukaniingiza huko😛!Hahaha... Nilipewa ridhaa...
Kabisa😂Uwiiiih aisee kwahiyo kiufupi ulijaa kwenye mfumo
Tena kuwa makini, kuna midume inajichatisha kama mademu humuMimi nilijiunga JF kwa sababu miaka ya nyuma kuna bro wangu aliniambia nitapata mademu.. lakini mpaka leo sijapata wala sijawahi kutafuta humu. Ila jf imenisaidia sana