Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Bila uthibitisho unaweza kulishwa uharo wowote ule wenye vidudu vingi hatari sana ukaambiwa hii ni protein nzuri sana, safi na salamankwa matumizi ya watu.
Daaah wee jamaa unaweza bishana na mtu kumbe unataka kumuweka kwenye cycle flan ambayo akiingia tuu achomoi.....

Na mpaka sasa bado hakuna wa kuleta hoja na wewe ila kuna vyuma naimani vinajipanga nazani humjui mazinge wewe
 
Kuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008

Kumbe ni upotoshaji
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
na kuna ile nyingine mtu anasema dunia ni tambarare na kaweka evidence za picha kabisa yaani khaaa
Yule jamaa aiseee ni mbishi sasa assume yule jamaa kawapangua watu kibao na mpaka sasa bado kashikilia bendela ya dunia tambarare.

Ukigusa ule uzi kwanza una flashiwa ..kama ulikuja na geography yako ya form one utoboi
 
Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway, straight to the point πŸ‘‰ Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..

Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,

je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Niliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.

Ilikuwa kabla habari za magazeti hazijatoka kesho mimi niliishaifaham habari. Ikawa mwisho wa kununua gazeti.

Jf ni zaidi ya news media.

Ova
 
Niliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.

Ilikuwa kabla habari za magazeti hazijatoka kesho mimi niliishaifaham habari. Ikawa mwisho wa kununua gazeti.

Jf ni zaidi ya news media.

Ova
jf Ina karibu kila kitu cha maisha ya kawaida na darasa ambalo walimu wake hatuonani nao
 
Niliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.

Ilikuwa kabla habari za magazeti hazijatoka kesho mimi niliishaifaham habari. Ikawa mwisho wa kununua gazeti.

Jf ni zaidi ya news media.

Ova
jf Ina karibu kila kitu cha maisha ya kawaida na darasa ambalo walimu wake hatuonani nao
Kumbe ndo wewe.mtu mwenyewe ahahahahha
Kaamua kujitokeza sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na msimamo wake ni uleule
 
Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway, straight to the point πŸ‘‰ Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..

Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,

je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Kipindi hicho jf 2007 ilikuwa cream haswa. Mada zilikuwa mada. Hoja zilikuwa hoja. Tulikuwa wachache wenye tija. Almost tulifahamiana. Bondeni pale tulikuwa tukipooza mqchungu kwa jukwaa fulani pendwa. Tulikuwa na moderator wetu amazing aitwaye invisible. Sijui yuko wapi. Enzi hizo mzee mwanakijiji alikiwa baba wa jukwaa. Mzee mzima Field Marshal William.Malechela (rip) na mada zake amazing. Wengine ninaiwakumbuka kwa uchache Maxence, WOS, pakajimy, BAK, Pascal, bujibuji, ngungu, na wengine wengi
 
Back
Top Bottom