Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Huyu Kindeena utamuitaje mkongwe na hali kaja humu mwaka 2017? Watu tupo humu toka wakati wa JamboForums mwaka 2006.

Then ilipobadili jina na kuitwa Jamiiforums tukaingia upya. Kindeena bado ni kinda tu
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.

Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.

Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.
 
Hivi Kindeena ulikuja kuchelewa wapi kujiunga
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.

Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.

Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.

Kyodowe maana yake ni minyoo
 
Ahaaaa kumbe wana sayar artificial mkuu ko hizi gold zinzochimbwa sikuizi huwa zinaenda wapi
Duuu hili swali mtambuka sana,
Kumbuka maelfu ya gold za himaya za kale kama Babylon,Misri,Aztec nk zili disappear without a trace na hatujui zilienda wapi ila hizi za kizazi chetu tunazitumia katika vifaa vya electronics na nyingine kama mapambo na nyingine reserve bank
Ila amini nachokuambia hii Dunia dhahabu 90% ilichimbwa zamani za kale tena kwa ustadi wa kustaajabisha sana huko South Africa na Kush kuna machimbo ya kale kuliko historia ya Mwanadamu yaani kuna advanced civilization walichimba gold kwa mamilioni ya tani na haijulikani zilikopotelea hapo ndio fact za Annunak zinaleta mashiko!
 
Duuu hili swali mtambuka sana,
Kumbuka maelfu ya gold za himaya za kale kama Babylon,Misri,Aztec nk zili disappear without a trace na hatujui zilienda wapi ila hizi za kizazi chetu tunazitumia katika vifaa vya electronics na nyingine kama mapambo na nyingine reserve bank
Ila amini nachokuambia hii Dunia dhahabu 90% ilichimbwa zamani za kale tena kwa ustadi wa kustaajabisha sana huko South Africa na Kush kuna machimbo ya kale kuliko historia ya Mwanadamu yaani kuna advanced civilization walichimba gold kwa mamilioni ya tani na haijulikani zilikopotelea hapo ndio fact za Annunak zinaleta mashiko!
Kumbe kuna meng hatujui
 
Duuu hili swali mtambuka sana,
Kumbuka maelfu ya gold za himaya za kale kama Babylon,Misri,Aztec nk zili disappear without a trace na hatujui zilienda wapi ila hizi za kizazi chetu tunazitumia katika vifaa vya electronics na nyingine kama mapambo na nyingine reserve bank
Ila amini nachokuambia hii Dunia dhahabu 90% ilichimbwa zamani za kale tena kwa ustadi wa kustaajabisha sana huko South Africa na Kush kuna machimbo ya kale kuliko historia ya Mwanadamu yaani kuna advanced civilization walichimba gold kwa mamilioni ya tani na haijulikani zilikopotelea hapo ndio fact za Annunak zinaleta mashiko!
Kwahiyo hao Annunak nao waliumbwa na nani?
 
Kwahiyo hao Annunak nao waliumbwa na nani?
Kuumbwa maana yake kutengeneza kitu fulani kwa manufaa fulani,
Sumerian tablets zinadai humanoid aliumbwa na Annunak katika maabara za Nephilim kwa kutumia sehemu ya udongo,madini na DNA za Annunak kupandikizwa katika mwili wa kiumbe na kupelekea super Humanoid wa kwanza yaani homo sapien,hiyo ilihusisha sayansi ya juu sana kutokana na tech yao kua kubwa ajabu,
So creation inahusu Humanoid na ndio story tunayoijua wote ikichochochewa na Sumerian mythology,Kemet,Mayan,
Indus valley,Atrantis na baadae Israelites waliitumia katika Maandiko yao matakatifu kama Talmud nk
Wakisema Mwanadamu aliumbwa na God au gods ila gods ni Immortal ikiwa ina maana hao Miungu hatusemi iliumbwa Ili ni viumbe Immortality!
Hapo ndipo kesi inaanzia!
 
Kumbe kuna meng hatujui
Yapo mengi confused about World history yaani kuna maajabu yalifanyika zamani za kale kipindi ambacho historia inayokuambia watu waliishi mapangoni na walikula mizizi ila amini ndio kipindi ambacho tayari Dunia imeshakaliwa na advanced civilization yenye Science na Teknolojia kubwa kuliko yetu na hatujui nani au viumbe gani walifanya hayo maajabu hapo ndipo nadharia za Alliens kama hao ANNUNAK, Andromedan,Zetaz reticul,Sirians,Plaidelian na race nyingi za reptilian waliowahi ishi duniani mamilioni ya miaka iliyopita zinaanza kumake sense kwamba we are not alone!
Watu wa kale hawakua wajinga kuawaabudu miungu yaani waliabudu viumbe waliowaona kwa macho yao na viliwapa mahitaji yao
Unajua historia ya Wamaya,Waaztec na Jamii zote za wahindu wekundu kumwabudu mungu Quetzalcoatl au Kukukan?
Au wahindi wa India na huko Sri lanka kumwabudu Krishna!
Hao jamaa Moja ya masimulizi yao wanadai miungu yao ilikua inapaa angani na flying machine (Spaceships)
Ukiwasikiliza katika documents zao utajifunza hao Miungu walikua advanced kwenye science na Technology!
Who are they!
 
Yapo mengi confused about World history yaani kuna maajabu yalifanyika zamani za kale kipindi ambacho historia inayokuambia watu waliishi mapangoni na walikula mizizi ila amini ndio kipindi ambacho tayari Dunia imeshakaliwa na advanced civilization yenye Science na Teknolojia kubwa kuliko yetu na hatujui nani au viumbe gani walifanya hayo maajabu hapo ndipo nadharia za Alliens kama hao ANNUNAK, Andromedan,Zetaz reticul,Sirians,Plaidelian na race nyingi za reptilian waliowahi ishi duniani mamilioni ya miaka iliyopita zinaanza kumake sense kwamba we are not alone!
Watu wa kale hawakua wajinga kuawaabudu miungu yaani waliabudu viumbe waliowaona kwa macho yao na viliwapa mahitaji yao
Unajua historia ya Wamaya,Waaztec na Jamii zote za wahindu wekundu kumwabudu mungu Quetzalcoatl au Kukukan?
Au wahindi wa India na huko Sri lanka kumwabudu Krishna!
Hao jamaa Moja ya masimulizi yao wanadai miungu yao ilikua inapaa angani na flying machine (Spaceships)
Ukiwasikiliza katika documents zao utajifunza hao Miungu walikua advanced kwenye science na Technology!
Who are they!
Daaah kumbe ko mda wowote Tunaweza kuwa attacked apa dunian na tukashindwa kujitetea
 
Mwaka 2013 sikumbuki hata nilikuwa natafuta taarifa gani gugo. Nikaopt Jamii forums, nikakutana na mada ya Mshana Jr. moja kwa moja.

Hivyo ID ya Mshana Jr ndo ID ya 1 kuifahamu JF.
 
Tangu 2019 nilikuwa nafatilia Jamii forum kupitia website ila nimejiunga mwaka huu na member nlikuwa namfatilia Sana ni Mshana Jr na uzi wake unahusiana na picha ndio uliniogopesha sana
 
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.

Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.

Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.
Okay!! Wewe ni mkongwe basi. Disguised ID ndiyo uhuru wwa maoni
 
Bro mwanzo nilikuwa ninasoma kama guest maana sikuwa ninajua jinsi ya kujiunga.

Baadaye nikapata ufahamu nikajiunga Kwa kutumia majina yangu halisi. Hii ilikuwa 2010.

Baadaye nikashtuka kwamba wengi humu wanatumia fake IDs. Nikaachana na ID yangu nikafungua nyingine 2017.

Kyodowe maana yake ni minyoo
Kwani Kindeena maana yake ni nini mkuu
 
Kama uliwahi soma pahali ya kwamba Mungu alisema tushuke na tujionee mnara wa Babel wanaojenga wanadamu basi hao jamaa ndio hawa kina Lord ENLIL na ENKI hao ANNUNAK
Katika masimulizi ya watu kuona Malaika wenye mbawa hahahah huo ni ujinga wa zama za kale hao ni Igigi halafu hawa Annunak wenyewe walikua advanced kwenye science and technology kiasi kwamba watu wa kale waliona maajabu tu na wasijue spaceships ni nini na hata hawakujua siraha za mionzi ni nini!
Wakawaabudu kama miungu shenzi type!
Unataka niingie kwenye kufuru mkuu kwa hapo umenikosa....

Ukiendelea mkuu nakukula blok
 
Back
Top Bottom