Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahWazee wa kupata vitu vya msingi(free basics) bure kwa kiswahili si ndo mkuu??
Majibu yakatokaje mkuuKuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008
Kwanini mchuchu ujute au ulifanya ujinga huku sio!?Lakini najuta najuta najuta najuta kujoin Bora ningeendelea kuona tu huko Google
HujaulizwaNaona tuko sawa sawa hata mie niliijua baada ya kuwa kila nikigoogle kitu zinakuja thread za Jf.
Tuliachana na mambo ya idd amin tukaanza kujadili Jambo forums ni kitu ganiMajibu yakatokaje mkuu
Najuta kuwasoma watu kama nyieeeeeKwanini mchuchu ujute au ulifanya ujinga huku sio!?
🤣🤣🤣 I luv yu diaNajuta kuwasoma watu kama nyieeeee
i don't like you at all🤣🤣🤣 I luv yu dia
Kwann kipenzi? Nimekukosea nn dear!? 🙂😔😢i don't like you at all
I hate youKwann kipenzi? Nimekukosea nn dear!? 🙂😔😢
🤣🤣🤣 Daaah mwanamke wa mithali acha chuki na anonymous member wa mtandaoni utakufa kabla ya wakati wako my dear.I hate you
I don't like you
Kwanza usi reply comment zangu
AsanteKaribuni sana JamiiForums...
🤣🤣🤣 Daaah mwanamke wa mithali acha chuki na anonymous member wa mtandaoni utakufa kabla ya wakati wako my dear.
Ukinichukia hunipunguzii lolote mi nakupenda sana nataka tu ujue hilo baby girl
Vyovyote I don't care🤣🤣🤣 Daaah mwanamke wa mithali acha chuki na anonymous member wa mtandaoni utakufa kabla ya wakati wako my dear.
Ukinichukia hunipunguzii lolote mi nakupenda sana nataka tu ujue hilo baby girl
Baby girl 🤗🤗💙 kunywa maji upunguze hasira kama uko single tuyajenge 💕💞 kissesVyovyote I don't care
I hate you
Haters mbona nyie huwa hamtajwi hivi kama Sisi akina GENTAMYCINE? Ukiwa na Mvuto wa Kipekee hapa JF utakubalika tuMimi watu wa kwanza kuwafahamu walikuwa ni akina GENTAMYCINE Mshana Jr na akina Extrovert ila nilikuwa naenjoy CHAI za Melki Wamatukio