Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Kuna watu wapo very serious......๐ ๐๐๐
Hapo lazima niwe inferior mkuu
Siku akipata cha arusha atasema dunia kama box...
.ukija vibaya unapewa za uso...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wapo very serious......๐ ๐๐๐
Hapo lazima niwe inferior mkuu
Hii misimamo ...Kaamua kujitokeza sasa ๐๐๐
Na msimamo wake ni uleule
Hahahaahaaa! hapo ongezea na The Last King of ScotlandKuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008
Naona huyo ke ndo alikuwa anakuchanganya mpka kulala saa 7 mkuu Anko BantuKuna kanokia flani nilikuwa natumia nimesahau tu model yake ilikuwa ni zile za kufunua,usiku nilikuwa nalala saa 7. Nakumbuka kuna KE alikuwa anajiita Mzuri Mie
Wazee wa kupata vitu vya msingi(free basics) bure kwa kiswahili si ndo mkuu??Kupitia www.freebasics.com
Nilikuwa naingia freebasics ili niingie FB bure ,na kuperuzi baadhi ya website ndipo nikakutana na JF
Hey ndio mimi blood na huo ndio ukweli ambao wengi hatutaki kuukubaliKumbe ndo wewe.mtu mwenyewe ahahahahha
Kama uliwahi soma pahali ya kwamba Mungu alisema tushuke na tujionee mnara wa Babel wanaojenga wanadamu basi hao jamaa ndio hawa kina Lord ENLIL na ENKI hao ANNUNAKKumbe ndo wewe.mtu mwenyewe ahahahahha
Mbn picha kama za watu wa kawaidaKama uliwahi soma pahali ya kwamba Mungu alisema tushuke na tujionee mnara wa Babel wanaojenga wanadamu basi hao jamaa ndio hawa kina Lord ENLIL na ENKI hao ANNUNAK
Katika masimulizi ya watu kuona Malaika wenye mbawa hahahah huo ni ujinga wa zama za kale hao ni Igigi halafu hawa Annunak wenyewe walikua advanced kwenye science and technology kiasi kwamba watu wa kale waliona maajabu tu na wasijue spaceships ni nini na hata hawakujua siraha za mionzi ni nini!
Wakawaabudu kama miungu shenzi type!
Hawa jamaa Asili yao wanatoka Mifumo nyota ya Sirius A na Sirius B hawa viumbe ni advanced kwenye science and technology kiasi kwamba walitengeneza artificial giant Intelligent planet kubwa hata mara tatu ya Dunia na hua ina move popote watakapo katika Ulimwengu huu hiyo ndio NIBIRU au planet X na Moja materials zilizotumika kuiunda ni dhahabu waliyoichimba Duniani kwa maelfu ya miaka hivi unajua hapa Duniani reserve yote ya gold ilishachimbwa hapo kale kabla ya ustaraabu wa Mwanadamu?Aiseee Kwani wanaishi planet gani mkuu Dumas the terrible
Be serious meeeen yaani hao ni watu wa kawaida?Mbn picha kama za watu wa kawaida
Ahaaaa kumbe wana sayar artificial mkuu ko hizi gold zinzochimbwa sikuizi huwa zinaenda wapiBe serious meeeen yaani hao ni watu wa kawaida?
Hao ni Nephilim ni giant Intelligent na imortal being
Hebu angalia hii ndio utajua they created man kwa mfano wao