Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Hivi ndivyo nilijikuta nakuwa mwanachama wa JamiiForums

Mimi nilijiunga JF kwa sababu miaka ya nyuma kuna bro wangu aliniambia nitapata mademu.. lakini mpaka leo sijapata wala sijawahi kutafuta humu. Ila jf imenisaidia sana
Hongera mkuu inasaidia sana yaani juzi Kati ningetapeliwa huko fb ikabd nipitie mada za jamiiforums nikawa aware nikaescape 🏃 🏃 🏃
 
nami pia nilianza na kuuona google... lakini haikutosha kunifanya nijiunge

WhatsApp walipoanzisha channel nikafollow channel ya JamiiForums

kuna mada wakituma link naingia kupitia website ila nikaona kuna option nyingine hazipo hadi u login au ku signup

ndo nika sign up nikawa new member
 
nami pia nilianza na kuuona google... lakini haikutosha kunifanya nijiunge

WhatsApp walipoanzisha channel nikafollow channel ya JamiiForums

kuna mada wakituma link naingia kupitia website ila nikaona kuna option nyingine hazipo hadi u login au ku signup

ndo nika sign up nikawa new member
Woow, you are warmly Welcome to our family mkuu
 
Nilikuwa namsikiliza yule mtangazaji wa Jahazi,I forget his name,yule aliyefariki alipokuwa MC katika maziko ya Ruge,nadhani.
Alikuwa anaongea mambo tofauti halafu akasema," Ukitaka kujua hizi gossip nenda Michuzi Blogs."
Baada ya hapo nilipokuwa naitafuta Michuzi Blogs,nikaiona pia Jamii Forums.
 
Nilikuwa namsikiliza yule mtangazaji wa Jahazi,I forget his name,yule aliyefariki alipokuwa MC katika maziko ya Ruge,nadhani.
Alikuwa anaongea mambo tofauti halafu akasema," Ukitaka kujua hizi gossip nenda Michuzi Blogs."
Baada ya hapo nilipokuwa naitafuta Michuzi Blogs,nikaiona pia Jamii Forums.
Ahaaa kumbe sasa mm hiy michuzi blogs siifahamu kabisaaaa
 
Mambo ya free basic..
Ila kuna jamaa anaitwa lifecoded 1
Alafu na Baba Swalehe
Hawa ndo walifanya mimi nivutiwe hapa...

Kipindi hicho lile jukwaa la intelijensia lilikua 🔥 🔥..

Kuna mada inaitwa ""prove binadamu ametokana na allien aiseee kuna watu wanajua mambo mule sio poa....

Hapo ndo nikaona kwanini nisijiunge mazima...

Ndo nikajikuta ni mlevi aiseeee
 
Mambo ya free basic..
Ila kuna jamaa anaitwa lifecoded 1
Alafu na Baba Swalehe
Hawa ndo walifanya mimi nivutiwe hapa...

Kipindi hicho lile jukwaa la intelijensia lilikua 🔥 🔥..

Kuna mada inaitwa ""prove binadamu ametokana na allien aiseee kuna watu wanajua mambo mule sio poa....

Hapo ndo nikaona kwanini nisijiunge mazima...

Ndo nikajikuta ni mlevi aiseeee
Mimi tena
 
Mambo ya free basic..
Ila kuna jamaa anaitwa lifecoded 1
Alafu na Baba Swalehe
Hawa ndo walifanya mimi nivutiwe hapa...

Kipindi hicho lile jukwaa la intelijensia lilikua 🔥 🔥..

Kuna mada inaitwa ""prove binadamu ametokana na allien aiseee kuna watu wanajua mambo mule sio poa....

Hapo ndo nikaona kwanini nisijiunge mazima...

Ndo nikajikuta ni mlevi aiseeee
Hiyo mada naipata aisee mkuu Fundi manyumba usipokuwa vizuri kiimani unaweza kuwa mpagani
kabisaaaaa🙌🙌
 
Back
Top Bottom