Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

hahaha maana pesa kwako wewe uliigeuza kuwa rasilimali ..ili kuwa nijambo jema ..lakini mahala ulipokuwa umechagua kuziwekeza ndio ilikuwa mtihani "" Ontario ni genius aiseee"" hahaa
 
Kama kuna watu wachelewaji kwenye fursa basi Mimi ni mmoja wapo! Ilianza D9 nikasita,nikajakusikia wamelizwa,ikaja tmt nikasema nitajipanga nijiunge,ikaja Bitcoin na bei yake kupaa maradufu nikasema nitajipanga ninunue.Ila vyote hivii vimepita kando,naona Mola yu nami.
 
hata boda imegoma wee jamaa wewe uenifurahisha sana. mimi nilikuwa nawaza jumba kubwa kama la rick ross ila saizi hata nyumba ya kupanga naona maboss
haahhaa manina ...hapa waizungumzia mansion ya ml.900hivi unadhani nikitu rahisi kuwa nacho kama. ilivyo kuwa kujamba"". huyo mentor wako tu "" mjengo kama huo hana""
 
Duuh,hadi boss luge,mzee wa fursaaa.nae kawa fursaa[emoji16] [emoji16]
hahaaa ile kampeni yake ya fursa nayo ni janja janja tu ..anapiga hela kibao pale "" maana kuna wadhamini kibao anaowapata kupitia ile kampeni....ontario nae akaona ngoja nimpige ""maana yeye siamezoea kuwapiga wenzake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…