hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaa kwahiyo wataka kuniambia mpaka hii leo hata ka baby walker hana""?BMW sio matako kwamba kila mtu anayo! Jinsi tulivyochakatwa nadhani mme anaitamani hata Passo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa kwahiyo wataka kuniambia mpaka hii leo hata ka baby walker hana""?BMW sio matako kwamba kila mtu anayo! Jinsi tulivyochakatwa nadhani mme anaitamani hata Passo.
hahahahaahAh ah ah ah! Najiona kubabake nimekaa pale!? Mwangu futa hii picha..unanidhalilisha!
hahahahahahaah thanks saizi mentor ni kichwa changuhaahhaa manina ...hapa waizungumzia mansion ya ml.900hivi unadhani nikitu rahisi kuwa nacho kama. ilivyo kuwa kujamba"". huyo mentor wako tu "" mjengo kama huo hana""
Niko kwenye live account muda huu ni muda wa kazi...!
Demo ni kwa ajili ya hawa newbies. I'm about to be Forex Guru.
Ontario anatakiwa alete tujifunze na ile ya kuprint majengo ,ada iwe milioni 1hahaaa kwahiyo wataka kuniambia mpaka hii leo hata ka baby walker hana""?
kwa hiyo Mme hata vitz kashindwa miliki ,ndio maana walijitoa haraka humu maana yajayo waliyajua kablaBMW sio matako kwamba kila mtu anayo! Jinsi tulivyochakatwa nadhani mme anaitamani hata Passo.
mkuu soma kwanza kishaaa ukiwa na mwanga ndo unatafuta mtu wa kukufundisha sio unakuja kichwa kikiwa emptyMkuu unaweza kunifundisha?
Niliona na nilikua msomaji wa mwanzo kabisa lakin sikua interested sana maana hata hayo madorali ya kuanzia sikua nayo.
hahaa ile topic yake ya yajayo yanafurahisha ..lakini naona inekuwa vice versa yajayo yanahuzunisha..wanafunzi wake wanakuja kutoa vilio humuOntario anatakiwa alete tujifunze na ile ya kuprint majengo ,ada iwe milioni 1
Niko katika forex miezi saba sasa nimepoteza hela kibao huko nyuma ni kutokana na kuwa mgeni na pili kutokuwa na njia sahihi ya kupitia .Watu kuona real Account ya ontario
Mimacho iliwatoka hahahaaa[emoji1] [emoji1]
Nabado
Pigeni msuli mjitegemee
Forex sio ya kusoma siku 5
Inaitaji miez zaid ya mii3View attachment 735848
Naweza kufundisha hii biashara ila siwezi kufanya hivyo nisije onekana nimekuja kutafuta wakuwapiga mkuu.Mkuu unaweza kunifundisha?
naaam komaa mkuu "" kama umezaliwa masikini kuupata utajiri ni safari ngumu ya kubadili jiwe kuwa mkate "" ijapo kuwa hilo linawezekanahahahahahahaah thanks saizi mentor ni kichwa changu
Naweza kufundisha hii biashara ila siwezi kufanya hivyo nisije onekana nimekuja kutafuta wakuwapiga mkuu.
Ila ukiwa mshkaji ukabahatika kunifahamu nitakushirikisha haya maujanja kama mwana tu na sitakutoza hata 100. Clean and gentleman way.
Kwa mzee kama mimi huyo ni binti...hivi huyo ni binti?
Kaka mshana forex ni real kabisa haina fix ila kuna watu sasa wanatumia umbumbu wa wasio jua kula hela zao so hao ndio wanaitia doaAt the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
hebu share kidogo njia yako au weka hata screen shot tuone kama huto jaliNiko katika forex miezi saba sasa nimepoteza hela kibao huko nyuma ni kutokana na kuwa mgeni na pili kutokuwa na njia sahihi ya kupitia .
Sasa naona mafanikio kila siku ni vigele gele.
TMT wangebaki kuwa trainers tu mambo ya kuwakumbaltia watu ,kutoa signal ni ujinga
Anaeyepolea signal ni mpumbavu kabisa nasema ni mpumbavu ukitaka ufanikiwe forex tafuta njia moja tu nasema tena moja tu ifanyie mazoezi hata kama mwaka nzima ujiimasta ingia kazini
Signal zina walemaza traders wengi na hutoweza fanikiwa kwa kuwa mpokea signal kila siku .
Mimi nilitafuta njia yangu kutoka kwa jamaa mmoja.nje huko na vitabu vyake ndio nilivyokomaa navyo .
Nawashauri watu ukiona mtu anakuambia anataka kukufundisha kubali ila akishaanza kukupa signal kataa na akikuchagulia broker kataa unapswa ujue aina za brokers
In forex u need a strategy and trading plan only
Hata hivyo forex sio kwa kila mtu mlio nje ya forex acheni matusi kwa sababu hakuna mnachojua.
Forex inahitaji deep knowledge and skills and patience otherwise haikufai
Kauze karanga
Hadi max hahahah [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kwanza pole mkuuKwa hiyo sisi tumekuwa Kama wacambodia nini?