Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,683
- 4,900
Alafu wewee?!Kwani hayajaisha bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wewee?!Kwani hayajaisha bado?
hahaaa MUNGU sio nani ??Hahaha mkuu poleni sana kwa yaliyowakuta , so tmt anafanya kazi na broker gani now ... ila kweli Mungu si sholo mwamba [emoji2] [emoji2] [emoji2]
MKUU HICHO KISHATI CHAKE noma sana kimekaa kama bendera,😀😀😀😀😀Ina maana kamanda na yeye atakuwa amelizwa?View attachment 735994
Najaribu kufikiria huyo mwingine angekuwa Makonda.....!Ina maana kamanda na yeye atakuwa amelizwa?View attachment 735994
dadeq ...Jamaa kumbe aliwanyoosha kiasi hicho."""!!!?Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kifo cha wengi harusi..Hadi huyu nae kachakatwa. Ah ha ha ha!Ina maana kamanda na yeye atakuwa amelizwa?View attachment 735994
hahaaa..ati mentor choko
.Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Time will tellhahaaaa Hawa watu wacha wapigwe tu mkuu ..tuliwaambia sana humu kuwa Jamaa anatumia udhaifu wao wakutokusoma vitabu nakujifnza mambo mengi ....walikuwa hawataki kutusikia "" tulikuwa tunatukanwa ile mbaya""
ama kweli muda ni hakimu wa haki ""
vipi wewe mkuu hujawahi kwenda janjid plaza kwa Mr Ontario !??
Mshana unamaanisha nini na hii picha?
Ah ha ha ha!! We jamaa mbaya sana..unatolea wapi hivi vielelezo?
Aliwavuta.ndo maana alikuwa analeta nyuzi za forex humu.alijua akina dame tu cosita.wapo wengi humu atawapiga.Nachoweza kusema Watanzania tubadilike ,binafsi namuona Ontario kama mpambanaji na mtafuta fursa , aliyefanyia vizuri
Naamini hakumlazimisha mtu kujiunga na TMT ni willingness ya mtu ndio alivutiwa
Tatizo Watanzania tukishindwa kupata kitu tunachotarajia tunaanza kuita mtu tapeli n.k wakati yeye katimiza wajibu wake
Nashauri Acheni kumchafua , maana hakuwavuta shati kwenda TMT