Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Tatizo la forex trading, watu tunataka kuivamia kama biko, yaani kucheza kwa kubahatisha. Forex trading ni topic ya kuishikia kalamu na karatasi, ikichangiwa na analysis lukuki. Na kabla washiriki hawajaielewa vizuri, waeleweshaji wakakaa mkao wa kujinufaisha kwanza….na faida nahisi inakuwa kubwa kama watu bado somo halijakolea….

Nina imani kwa sasa mtoa mada utakuwa umeielewa the hard way hasa kwenye eneo la participants wa market.
 
Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.

Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
.
sirjeff_dennis-20180406-0002.jpg
 
hahaaaa Hawa watu wacha wapigwe tu mkuu ..tuliwaambia sana humu kuwa Jamaa anatumia udhaifu wao wakutokusoma vitabu nakujifnza mambo mengi ....walikuwa hawataki kutusikia "" tulikuwa tunatukanwa ile mbaya""

ama kweli muda ni hakimu wa haki ""

vipi wewe mkuu hujawahi kwenda janjid plaza kwa Mr Ontario !??
Time will tell
 
Matatizo ya dharau na kebehi za huyu dogo ni ya kawaida kwani ndo anabalehe,mambo ya homone,

mi nilimgundua kijana ni mpigaji tangu simulizi zake za matractor,nikaacha hata kufuatilia nyuzi zake
 
Nachoweza kusema Watanzania tubadilike ,binafsi namuona Ontario kama mpambanaji na mtafuta fursa , aliyefanyia vizuri

Naamini hakumlazimisha mtu kujiunga na TMT ni willingness ya mtu ndio alivutiwa

Tatizo Watanzania tukishindwa kupata kitu tunachotarajia tunaanza kuita mtu tapeli n.k wakati yeye katimiza wajibu wake

Nashauri Acheni kumchafua , maana hakuwavuta shati kwenda TMT
Aliwavuta.ndo maana alikuwa analeta nyuzi za forex humu.alijua akina dame tu cosita.wapo wengi humu atawapiga.
 
Back
Top Bottom