Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

At the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
wapo kimya wanaugulia maumivu...mleta mada ambaye ni loyal kawa jasiri na kuanika uovu wote wa TMT
 
Kikubwa achaneni na mambo ya kuambiwa buy or sell piga kitabu tafuta mentor sahihi mlipata elimu ambayo ni basic inatosha kujiendeleza mwenyewe.
Sikuwahi kwenda huko ingawa walinifanya nikaijua forex nikatafuta mentor now mambo ni hivi[emoji91] [emoji91]. Mentor anaerecommend broker mimi sijawahi kuwaamini aisee.
Ngoja nikatafute za weekend[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
 
Kikubwa achaneni na mambo ya kuambiwa buy or sell piga kitabu tafuta mentor sahihi mlipata elimu ambayo ni basic inatosha kujiendeleza mwenyewe.
Sikuwahi kwenda huko ingawa walinifanya nikaijua forex nikatafuta mentor now mambo ni hivi[emoji91] [emoji91]. Mentor anaerecommend broker mimi sijawahi kuwaamini aisee.
Ngoja nikatafute za weekend[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
safi sana
 
Sasa ulisema ili iweje kama unajua watu watakuita scammer unajishitukia kweli bongo tuna safari ndefu katika maisha au unaogopa watu watanufaika sana.
Na wewe nawe unakuwa wale wale wazee wa kulala sikusema hapo juu ili nipate watu au nifundishe watu au nishee nao mbinu zangu hiki kitu sitaki kabisa

Forex iko wazi kama ukijiongeza na kuzama deep sana so usianze tu kulaumu mtu wakati acces zote hizo za kufukua mbinu mujaribu .

Halafu vitabu vina mbinu kibao tatizo manataka ku generalize zote kwa pamoja kwa hili hamtafanikiwa

Chagua moja tu kati hizo za vitabu ifanyie kazi utaonaa mafanikio

Kuwa mbinu nyingi ni sawa na miluzi tu kwa mbwa

Mfano unaweza chagua kutrade kwa trendline tu kaimasta na kuwa superb takataka zongine zote ukaweka kando .

Sasa unakuta mtu anataka mambo yoote ayajue kwa wakati mmoja ndio hapo lazima aharibu

Chagua kimoja kifanye kwa uhakika sio kuchagua kumi kufanya ki averages hutofanikiwa

So pambana forex sio easy jamaani kuna shughuli pevu kweli kweli .

Na jinsi yankujimeneji kisaikolojia napo ishu nzito sana

Forex is not for everyone
 
Walikuwa wana programme ya kuwatrain vijana wa vyuo vikuu wakianzia na UDSM... Bora madogo waendelee kubet, maana Forex inataka watu kama sisi...viburi na wabishi.

jamani! Madogo watapigwa maboom yao hadi wanyambe.
Ndio tumia fursa hiyo nawe uwapige hao madogo maboom yao
 
Mlipotangaziwa kuwa Forex ni utajiri uliojificha mkaona ohooo utelezi huo umewajia! Ivi kuna biashara mabayo benki haitaki ujue afu ikawa halali kufanywa kama haijapigwa ban na serikali?n wakati mnapotangaziwa jambo musome vizuri tangazo na mjiulize.

Biashara ya Forex ni halali na ipo Kweli, ila mnapoenda kwa watu kama hawa Ontario na wengine wamejaa tele instagram kudai kuonesha mafanikio yao, hawa ni wanawageuzia nyinyi kuwa fursa, kupoteza hela kwenu ni faida kwa hawa wanaojiita mentors.

Bila shaka mmejifunza kuwa hakuna pesa ya utelezi kabisa. Kila kitu ni hard working and determination. Ulimwengu wa digitali unawatia watu shoti sana katika maisha. Kama unataka forex njoo Zanzibar kwenye wazungu wa kumwaga uje uuze na ununue dola

Unaambiwa Tanzania ndo nchi pekee unayoweza kumkuta masikini akiuza kitabu chenye mbinu 99 za kuwa tajiri lakini muuzaji wa kitabu kula hajui atapata wapi na kisha mtu ananunua 😀 😀 😀
 
Aisee,,poleni sana

Af hapo Jangid napita kila cku nkitoka kibaruan af pale ofic ya tmt naonaga km kuna watu watu hv,,bdo wapo wanaoenda au??
 
Hahaha Tanzania kuna ujinga mwingi sana
Wacha muendelee kuliwa
Halafu huyo dogo mnayesema ana dharau si mumkate makofi ?
 
Kwanza nitoe shukrani za dhati kwa Ndugu Humble African kwa hiki ulichokiwakilisha hapa Jukwaani.

Hongera hizi nakupatia ndugu yangu, kwanza kwa kuwa Mkweli wa kueleza kilichotokea bila kuficha kwa uwazi kabisa, nikushukuru sana kwa hili jambo.

Sasa nije kwenye suala lenyewe na niwe Mkweli kama alivyo Ndugu Humble African, mimi nimepita TMT na nimelipa ada ya 130K na kupata Training ya Siku 5 iliyokuwa inafundishwa na Mr Rea.

Kwa kweli tulipoanza na hawa TMT hali ilikuwa shwari sana lakini baada ya muda kidogo malalamiko yakaanza kutokea na mara hii watu wakilalamikia Spreads kuwa ni kubwa sana ukifananisha na Brokers wengine. Mr Cre alilalama sana kuwa yeye anatoa Calls lakini watu wanatrade na Brokers ambao si JP Markets, bahati nzuri hili lilipita na mambo yakaendelea. Nimekuja kushangazwa na hili lililotokea kama siku 4 zilizopita limenivunja moyo sana tena sana.

Nikiwa ni mmoja wa members wa Group za Whatsapp Mentorship zinazoongozwa na Mr Cre nimeikuta sms tena iliyoandikwa na mwenyewe Cre kuwa kuna tatizo kwa broker wetu JP Markets kuwa anachotufanyia sisi Clients wake ni B Bookings, kwa tafsiri rahisi ni kuwa tunapofanya trades na yeye anapokea order zetu badala ya kuzipeleka moja kwa moja kwa Liquidity provider yeye kama yeye anabaki nazo na anafungua order against sisi ili ukipata hasara yeye anapata faida na ukipata faida yeye anapata hasara. Huu ndiyo mchezo uliokuwa unafanyika na kututia hasara mara kwa mara na kuwafanya watu kufund akaunti zao kila wakati.

Mpaka sasa hatujui kipi kinachoendelea zaidi ya Mr Cre kupost kitabu kinachoeleza A Book Brokers na B Book Brokers na tofauti zao basi.

Kutokana na haya yaliyotokea tunajifunza nini?
1.Uaminifu tuliokuwa nao kwa TMT nikimaanisha kwa Ontario, Mr Cre na Mr Rea wote umeshu ka toka 100% hadi 15%.

2.Tuwe tunahitajika kupewa mae lezo yote muhimu yanayohusu Broker ambae tunatrade nae. Nafikiri wengi tumesahau ku wa moja ya sharti lao TMT ni kutrade na Broker wao walio mchagua.
Tukiacha sharti hilo ni kuwa bado tunaweza kuendelea kutrade nao kwa Broker watakae mchagua. Sasa tunataka kupata hakikisho kuwa ni kwa namna gani tunaweza kuepukana na suala kama hili lililotokea?
Poleni ila kwanza kabisa forex hauwezi kuimaster kwa siku tano tu. Lakini pia kushindwa kujua ni vigezo gani huangaliwa kutambua broker bora ni dalili kuwa hiyo training mliyohudhuria haikuwa na ubora wa kuwasaidia nyie wanafunzi.



Nakuomba usome sana na tafuta broker mwenye spreads nyingi. Kuendelea kulalam wakati una maarifa ya forex hautafika kokote. Achana na Ontario piga kazi
 
Na wewe nawe unakuwa wale wale wazee wa kulala sikusema hapo juu ili nipate watu au nifundishe watu au nishee nao mbinu zangu hiki kitu sitaki kabisa

Forex iko wazi kama ukijiongeza na kuzama deep sana so usianze tu kulaumu mtu wakati acces zote hizo za kufukua mbinu mujaribu .

Halafu vitabu vina mbinu kibao tatizo manataka ku generalize zote kwa pamoja kwa hili hamtafanikiwa

Chagua moja tu kati hizo za vitabu ifanyie kazi utaonaa mafanikio

Kuwa mbinu nyingi ni sawa na miluzi tu kwa mbwa

Mfano unaweza chagua kutrade kwa trendline tu kaimasta na kuwa superb takataka zongine zote ukaweka kando .

Sasa unakuta mtu anataka mambo yoote ayajue kwa wakati mmoja ndio hapo lazima aharibu

Chagua kimoja kifanye kwa uhakika sio kuchagua kumi kufanya ki averages hutofanikiwa

So pambana forex sio easy jamaani kuna shughuli pevu kweli kweli .

Na jinsi yankujimeneji kisaikolojia napo ishu nzito sana

Forex is not for everyone
Hizo siasa ulizozungumza nazijua aise mimi nimeshindwa kushangaa wewe umesema kuna strategy na vitabu umepitia mahali vimekusaidia sasa sijui ni tatizo gani ukashindwa kushare na wenzako hapa jamvini na wengine wapate kufanikiwa na kuijua kiundani Forex ndiyo maana yakuwa na Jamii Forum au ndiyo wale chakwako marufuku mwengine kukijua.
Mwisho vijana wakitanzania tuna safari ndefu sana katika kufikia mafanikio yetu pamoja na mapungufu yote ya Ontario ila ninampa pongezi za dhati kwakukutujuza kuhusu FOREX maana kuna watu walikua wanapiga kimya kimya na wengine ata material kushare ilikua ngumu sana.
 
Back
Top Bottom