BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
wapo kimya wanaugulia maumivu...mleta mada ambaye ni loyal kawa jasiri na kuanika uovu wote wa TMTAt the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Mmmh..me nimestop kidogo dearInakulipa na wewe au ndio bado unatengeneza foundationya kuwa profitable?
safi sanaKikubwa achaneni na mambo ya kuambiwa buy or sell piga kitabu tafuta mentor sahihi mlipata elimu ambayo ni basic inatosha kujiendeleza mwenyewe.
Sikuwahi kwenda huko ingawa walinifanya nikaijua forex nikatafuta mentor now mambo ni hivi[emoji91] [emoji91]. Mentor anaerecommend broker mimi sijawahi kuwaamini aisee.
Ngoja nikatafute za weekend[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
Tatu mzukaBiko mshiko. Nje nje
Poleni sana kwa yaliyowakuta...!!Mkuu sio ya kucheka haya! Tafadhali tupe hata pole tu inatosha.
Na wewe nawe unakuwa wale wale wazee wa kulala sikusema hapo juu ili nipate watu au nifundishe watu au nishee nao mbinu zangu hiki kitu sitaki kabisaSasa ulisema ili iweje kama unajua watu watakuita scammer unajishitukia kweli bongo tuna safari ndefu katika maisha au unaogopa watu watanufaika sana.
Ndio tumia fursa hiyo nawe uwapige hao madogo maboom yaoWalikuwa wana programme ya kuwatrain vijana wa vyuo vikuu wakianzia na UDSM... Bora madogo waendelee kubet, maana Forex inataka watu kama sisi...viburi na wabishi.
jamani! Madogo watapigwa maboom yao hadi wanyambe.
Its injustice and unfair kuwaingiza kingi watu kama wale.Ndio tumia fursa hiyo nawe uwapige hao madogo maboom yao
Poleni ila kwanza kabisa forex hauwezi kuimaster kwa siku tano tu. Lakini pia kushindwa kujua ni vigezo gani huangaliwa kutambua broker bora ni dalili kuwa hiyo training mliyohudhuria haikuwa na ubora wa kuwasaidia nyie wanafunzi.Kwanza nitoe shukrani za dhati kwa Ndugu Humble African kwa hiki ulichokiwakilisha hapa Jukwaani.
Hongera hizi nakupatia ndugu yangu, kwanza kwa kuwa Mkweli wa kueleza kilichotokea bila kuficha kwa uwazi kabisa, nikushukuru sana kwa hili jambo.
Sasa nije kwenye suala lenyewe na niwe Mkweli kama alivyo Ndugu Humble African, mimi nimepita TMT na nimelipa ada ya 130K na kupata Training ya Siku 5 iliyokuwa inafundishwa na Mr Rea.
Kwa kweli tulipoanza na hawa TMT hali ilikuwa shwari sana lakini baada ya muda kidogo malalamiko yakaanza kutokea na mara hii watu wakilalamikia Spreads kuwa ni kubwa sana ukifananisha na Brokers wengine. Mr Cre alilalama sana kuwa yeye anatoa Calls lakini watu wanatrade na Brokers ambao si JP Markets, bahati nzuri hili lilipita na mambo yakaendelea. Nimekuja kushangazwa na hili lililotokea kama siku 4 zilizopita limenivunja moyo sana tena sana.
Nikiwa ni mmoja wa members wa Group za Whatsapp Mentorship zinazoongozwa na Mr Cre nimeikuta sms tena iliyoandikwa na mwenyewe Cre kuwa kuna tatizo kwa broker wetu JP Markets kuwa anachotufanyia sisi Clients wake ni B Bookings, kwa tafsiri rahisi ni kuwa tunapofanya trades na yeye anapokea order zetu badala ya kuzipeleka moja kwa moja kwa Liquidity provider yeye kama yeye anabaki nazo na anafungua order against sisi ili ukipata hasara yeye anapata faida na ukipata faida yeye anapata hasara. Huu ndiyo mchezo uliokuwa unafanyika na kututia hasara mara kwa mara na kuwafanya watu kufund akaunti zao kila wakati.
Mpaka sasa hatujui kipi kinachoendelea zaidi ya Mr Cre kupost kitabu kinachoeleza A Book Brokers na B Book Brokers na tofauti zao basi.
Kutokana na haya yaliyotokea tunajifunza nini?
1.Uaminifu tuliokuwa nao kwa TMT nikimaanisha kwa Ontario, Mr Cre na Mr Rea wote umeshu ka toka 100% hadi 15%.
2.Tuwe tunahitajika kupewa mae lezo yote muhimu yanayohusu Broker ambae tunatrade nae. Nafikiri wengi tumesahau ku wa moja ya sharti lao TMT ni kutrade na Broker wao walio mchagua.
Tukiacha sharti hilo ni kuwa bado tunaweza kuendelea kutrade nao kwa Broker watakae mchagua. Sasa tunataka kupata hakikisho kuwa ni kwa namna gani tunaweza kuepukana na suala kama hili lililotokea?
Demo imewekwa beji ya realWatu kuona real Account ya ontario
Mimacho iliwatoka hahahaaa[emoji1] [emoji1]
Nabado
Pigeni msuli mjitegemee
Forex sio ya kusoma siku 5
Inaitaji miez zaid ya mii3View attachment 735848
Hahahaaaah kweliIts injustice and unfair kuwaingiza kingi watu kama wale.
God is watching!
Hizo siasa ulizozungumza nazijua aise mimi nimeshindwa kushangaa wewe umesema kuna strategy na vitabu umepitia mahali vimekusaidia sasa sijui ni tatizo gani ukashindwa kushare na wenzako hapa jamvini na wengine wapate kufanikiwa na kuijua kiundani Forex ndiyo maana yakuwa na Jamii Forum au ndiyo wale chakwako marufuku mwengine kukijua.Na wewe nawe unakuwa wale wale wazee wa kulala sikusema hapo juu ili nipate watu au nifundishe watu au nishee nao mbinu zangu hiki kitu sitaki kabisa
Forex iko wazi kama ukijiongeza na kuzama deep sana so usianze tu kulaumu mtu wakati acces zote hizo za kufukua mbinu mujaribu .
Halafu vitabu vina mbinu kibao tatizo manataka ku generalize zote kwa pamoja kwa hili hamtafanikiwa
Chagua moja tu kati hizo za vitabu ifanyie kazi utaonaa mafanikio
Kuwa mbinu nyingi ni sawa na miluzi tu kwa mbwa
Mfano unaweza chagua kutrade kwa trendline tu kaimasta na kuwa superb takataka zongine zote ukaweka kando .
Sasa unakuta mtu anataka mambo yoote ayajue kwa wakati mmoja ndio hapo lazima aharibu
Chagua kimoja kifanye kwa uhakika sio kuchagua kumi kufanya ki averages hutofanikiwa
So pambana forex sio easy jamaani kuna shughuli pevu kweli kweli .
Na jinsi yankujimeneji kisaikolojia napo ishu nzito sana
Forex is not for everyone