Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Kuna jamaa Mtanzania Insta anatumia @caiden.forex yuko vizuri sana, yani akikupiga training usipokuwa independent trader basi wewe ukazikwe tu
 
Mcheki mshkaji mtanzania insta anatumia @caiden.forex Jamaa mafunzo yake usipokuwa independent trader basi ujue ww ni mzimu, jamaa hatari yule
 
Forex haifanywi na masikini kama wewe ambao hawatumii akili ya kawaida kabisa.

Unaambiwa usiweke stop loss na wewe huweki. Hivi umemaliza hata kusoma forex bible?
By the way, ulikuwepo/ulisikia wakati wanaambiwa wasiweke stop loss? Just asking.
 
Ila pale TMT kuna mshkaji yule Msouth Africa ni facilitator anaitwa Rea

Huyu mwana daah! Jamaa ana roho nzuri hadi unaweza ogopa, yuko very humble, smart, calm, collected, hard working, full of respect and super friendly.. Yule mshkaji ni binadamu kabisa. Pure human.

The rest wa pale ni predators.

Shout out to you Rea,...We love you bruh!
 
Na yule demu wa Bold je
 
Matatizo yanaanzia kwa lile Zombi Lao linaloropoka ka limetiwa funguo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…