Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa Mtanzania Insta anatumia @caiden.forex yuko vizuri sana, yani akikupiga training usipokuwa independent trader basi wewe ukazikwe tuAhahaha!! Eti milion 5 tu hoi!!
Jamaa kadhalilisha sana UDSM na wote waliosoma special schools maana reasoning yake ni fupi kama maisha ya funza vile..! Hadi nasita kuamini kama vile vyeti ni vyake maana hata Mimi wa shule ya kata Nina haueni kubwa kwenye logic and reasoning ability.
Niko nae kule huwa ni mashabiki wa Barcelona wote lakini jamaa kichwani ni upupu anaishiaga tu kutukana matusi ya nguoni watu only hana reasoning wala argument ability.. He is hopeless and depressed... Na hivi kapunwa mkwanja ndo anataka akope milion 5 akatrade...bro! Forex inasema hivi kwenye disclaimer don't trade money you can't afford to lose as Forex carry high risk of losing your entire capital. You have been warned. Huna kazi Milion tano ikikaa sana ni wiki tatu..wiki ya nne ushapunwa maana bado newbie....utanitafuta nikupeleke kwa wahindi wanaponunua figo na mapumbu kwa milion 10 each ila Mimi nitakulangua kwa milion 5 tu...najua utatoa mapumbu maana hutakuwa na kazi nayo tena sababu hata baby lazma akukimbie kwa ukata so yatakuwa mzigo tu bru!...Ahahaha!
Deuce Nigga.
Forex deluxe institute TZ ndio habari ya mjiniForex ndio nini?
@caiden.forex insta anafundisha watu kwa elfu 50, yani ukitoka hapo hauhitaji hata signalsHebu unifundishe namie mdogo mdogo mwaya
Mcheki mshkaji mtanzania insta anatumia @caiden.forex Jamaa mafunzo yake usipokuwa independent trader basi ujue ww ni mzimu, jamaa hatari yuleMkuu achana na Huyo Jamaa atakuchosha Bure...kusema kweli ya Mungu Bavaria alituhasa sana Kuhusu kutumia stop loss...kuna msemo wake alikuwa anasema "kutotumia stop loss ni sawa na kutembea bila Viatu"
Kimsingi ni kwamba tulivoanza kutrade live tulikuwa hatutumii stop loss na hela tulipiga sana mwanzoni mwanzoni. Mm Mwenye nilipandisha $350 mpaka $2500 ndani ya week mbili tu. Nikatoa $600 nikabaki na 1900$. Nikapandisha tena ile 1900$ mpaka 2900$ ndani ya siku tank tu.. Nikatoa tena 900$. Baada ya hapo nikahama Kutoka jpmarkets baada ya kuna spread hazina Afya kwangu..nikahamia kwa broker mwingine ila nikawa bado natrade call za Cre..Kyle nikaweka 1000$ nikaipandisha kwa kusuasua sana mpaka 1400+$.. Mwezi wa kumi na mbili itatoka call ya EURUSD nadhani tmt member watakuwa wanaikumbuka ikazipurumua Zote..hapo ndo nilianza kumchukia Cre kwani alipomake hyo call ya sell EURUSD mm nilikuwa na trades za buy kwa hyo pea...nikamfuata privately nikamwambia mbona umesema sell wakati hii pea IPO kwenye uptrend???akaniambia I trade price action please sell and hold..nikatoka kwa trades zangu za buy ambazo zilikuwa blue nikaingia sell EURUSD..kitu kikaanza kuwa red...inazidi kupanda tu...nikamcheki tena Mkuu hii kitu vipi mbona inapaa tu...akaniambia hold..Duuu kilichokuja kutokea ni mm na Mungu wangu tunajua.
Ila kipindi hiki ndo Cre alikuwa amejitoa kwenye like group La BFG ambalo walimtuhumu kuiba analysis zao. Kuanzia December mwaka Jana TMT hakujawai kuwa na furaha tena...mkitengeneza hela siku mbili siku ya tatu Zote mnazirudisha sokoni na usipokuwa Makini na mtaji pia unakata...ukawa ndo mchezo huo. Sasa sijui mwanzoni Jamaa alituvutavuta kwanza ili tumuamini kutotumia stop loss halafu aje atupige baadae...Sijui...he inawezekana kweli ni mweupe na trades tunazokuwa tunafanya alikuwa anaiba analysis???inawezekana sana maana mwanzoni tulikuwa tunahold tradea sana (na Bfg wanasifika kwa kuswing) ila baada ya kusema kajitoa BFG yaani pips kumi tu unasikia guys please tp and stay out and wait for my next call...hyo next call ikija ni maumivu.....hahahahaaaaa....ngoja nicheke mie niongeze siku za kuishia...mweh!!!????
Umelipia hili tangazo lako lakini?@caiden.forex insta anafundisha watu kwa elfu 50, yani ukitoka hapo hauhitaji hata signals
huo ndio uhalisia chief sasa kwanini nifiche? Wewe check team yake, anafundisha hadi wakenyaUmelipia hili tangazo lako lakini?
Mcheki mshkaji mtanzania insta anatumia @caiden.forex Jamaa mafunzo yake usipokuwa independent trader basi ujue ww ni mzimu, jamaa hatari yule
Poa poaPoa mkuu asantre sana
By the way, ulikuwepo/ulisikia wakati wanaambiwa wasiweke stop loss? Just asking.Forex haifanywi na masikini kama wewe ambao hawatumii akili ya kawaida kabisa.
Unaambiwa usiweke stop loss na wewe huweki. Hivi umemaliza hata kusoma forex bible?
Soma hizo habari hapo juu zilizoletwa kwa malalamiko.By the way, ulikuwepo/ulisikia wakati wanaambiwa wasiweke stop loss? Just asking.
Wanakapenda hako ka msemo basi forex ni kwaajili yao tuHuwa nacheka sana nikisoma hizi statements 'Forex is not for everyone'.....'Forex is not for you'
Na yule demu wa Bold jeIla pale TMT kuna mshkaji yule Msouth Africa ni facilitator anaitwa Rea
Huyu mwana daah! Jamaa ana roho nzuri hadi unaweza ogopa, yuko very humble, smart, calm, collected, hard working, full of respect and super friendly.. Yule mshkaji ni binadamu kabisa. Pure human.
The rest wa pale ni matatizo matupu.
Shout out to you Rea,...We love you bruh!
Matatizo yanaanzia kwa lile Zombi Lao linaloropoka ka limetiwa funguoIla pale TMT kuna mshkaji yule Msouth Africa ni facilitator anaitwa Rea
Huyu mwana daah! Jamaa ana roho nzuri hadi unaweza ogopa, yuko very humble, smart, calm, collected, hard working, full of respect and super friendly.. Yule mshkaji ni binadamu kabisa. Pure human.
The rest wa pale ni matatizo matupu.
Shout out to you Rea,...We love you bruh!
Mkuu yani nilikua nasoma text zako tu, u made my day[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Umelipia hili tangazo lako lakini?
Yuko pale TMT kazi yake ni kuita wajina ya watu waliohudhuria class(kama monitor)Na yule demu wa Bold je