Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Mkuu ntakuchek PM
 
Nilikua sijakuona tu Mkuu wangu,
Uko vyema sana,
Kuna topic moja ya Kilimo cha Drip Irrigation uliishusha niliikubali mno
Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!

Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…