Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Duuh kumbe nae yuko tmtYuko pale TMT kazi yake ni kuita wajina ya watu waliohudhuria class(kama monitor)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kumbe nae yuko tmtYuko pale TMT kazi yake ni kuita wajina ya watu waliohudhuria class(kama monitor)
Mkuu ntakuchek PMKuna broker kibao wanatoa demo for just free.. Tafuta demo jibrush hata miezi sita.. Ubongo una tabia ya kuadapt..utakuwa vizuri ukinipata hata Mimi nakufundisha hata bure tu kizalendo then unaendelea na hamsini zako. Its good ukiijua hii business.
Wanakupa dola hata 3000 ambazo ni non withdrawal.. Ni za kupigia jalamba tu. Hii ni Bonge la opportunity sema Ontario katutumia tu kama ngazi na kaharibu reputation yake.
na nyingine ipiYuko pale TMT kazi yake ni kuita wajina ya watu waliohudhuria class(kama monitor)
Ontario a.k.a Sirjeff kijana tapeli wa kutupwa mwenye mbinu za kila aina!!
Ha haha chokozi weweTaaaatu Mzuuukaaa!!
Hakuna short cuts kwenye maisha.
Poleni wote mlioumizwa.
Nifa yuko poa very friendly, charming and kind. Namkubali pia.Na yule demu wa Bold je
Ahahaha!! Enjoy the show mkuu.Mkuu yani nilikua nasoma text zako tu, u made my day[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Naam, "Upepo wa pesa" niko hapa mkuu, naomba nikusikilize.Kuna Mkulima mwenzangu mmoja aitwa Upepo wa Pesa natamani kweli kumuona kwenye hii mada,
Jamaa kwenye sekta ya kilimo na Ujasiriamali yuko vyema,
Karibu Mkuu
hata nikki wapiliNandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kifo cha wengi harusi..wakapigwe na wao kidogo twende sawa.Naona TMT wanataka kuhamishia majeshi Kenya...Watanzania wameshawashtukia ni matapeli
Wakenya hawanaga utani linapokuja swala la pesaKifo cha wengi harusi..wakapigwe na wao kidogo twende sawa.
Nilikua sijakuona tu Mkuu wangu,Naam, "Upepo wa pesa" niko hapa mkuu, naomba nikusikilize.
Nifa yuko poa very friendly, charming and kind. Namkubali pia.
So wako wawili tu Niffa na msouth waliobaki wote ni washuma.
Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!Nilikua sijakuona tu Mkuu wangu,
Uko vyema sana,
Kuna topic moja ya Kilimo cha Drip Irrigation uliishusha niliikubali mno