Poa poa Mkuu wangu,Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!
Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
N kwenda kwa babu tu.. akojoe Dagaaa...!View attachment 740741
Mnaona wakuu like jifisi LA south linaloitwa Cre lilovo na kiburi... Watu wanasema wabadilishiwe mentor maana hakuna linalofanya zaidi ya watu kupoteza hela kenyewe ndo limejibu hapo Mwisho.
Si ulikua unawapoti wewe daily hapa.,leo wamekua matapeli tena.Naona TMT wanataka kuhamishia majeshi Kenya...Watanzania wameshawashtukia ni matapeli
Kuna Mkulima mwenzangu mmoja aitwa Upepo wa Pesa natamani kweli kumuona kwenye hii mada,
Jamaa kwenye sekta ya kilimo na Ujasiriamali yuko vyema,
Karibu Mkuu
Mkuu Shark anashindwa kukwambia tu vp saga la TMT ulipona mkuu,hahah.Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!
Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
Kijana alitaka kujua na wewe ume Trade?Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!
Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
Mkuu, huyo jamaa hakuna kabila au mkoa ameacha kuwatapeli sasa wewe hiyo Kigoma sijui ni ya nchi ganiHuu utapeli angewafanyia wanaume wa kigoma, bila shaka angekua na ujauzito wa miezi kadhaa huyo njemba
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
Usisite kuomba msaada !!
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
N kwenda kwa babu tu.. akojoe Dagaaa...!
Kwa kila anaejisajili hapo kupitia hii link wewe unapewa pips ngapi?Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
Usisite kuomba msaada !!
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
Humble African inabidi uanze kutoza pesa haya matangazo yanayoweka kwenye uzi wako wazee IB na commissionKwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
Usisite kuomba msaada !!
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
Kwa kila anaejisajili hapo kupitia hii link wewe unapewa pips ngapi?
Kwa kila anaejisajili hapo kupitia hii link wewe unapewa pips ngapi?
Humble African inabidi uanze kutoza pesa haya matangazo yanayoweka kwenye uzi wako wazee IB na commission
Kwa kila anaejisajili hapo kupitia hii link wewe unapewa pips ngapi?
Na wewe unatafuta commission ya IB au???
Nyie nao mnatuboa bwana ,Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
Usisite kuomba msaada !!
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
Huyo nae hapaswi kupewa jina lingine zaidi ya tapeli tu...sababu kati ya mabroker vichomi na huyu yumo. Huyu Broker katulogea Kwenye mpesa tu ila kihuduma ni mbovu sana hacheleweshi kukutumia marginal call.Humble African inabidi uanze kutoza pesa haya matangazo yanayoweka kwenye uzi wako wazee IB na commission