Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!

Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
Poa poa Mkuu wangu,
Hili Taifa kwa sasa tunakoenda ni kugumu aisee, pambana tu Mkuu wangu.
 
IMG_20180410_220632_681.JPG




Mnaona wakuu like jifisi LA south linaloitwa Cre lilovo na kiburi... Watu wanasema wabadilishiwe mentor maana hakuna linalofanya zaidi ya watu kupoteza hela kenyewe ndo limejibu hapo Mwisho.
 
Usimwamini mbongo kwenye suala linalohusu pesa hata kama ni mama yako............. learn to be extra careful and ruthless in matters that involves mtonyo .............Scams are all over places looking for their preys
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Huu utapeli angewafanyia wanaume wa kigoma, bila shaka angekua na ujauzito wa miezi kadhaa huyo njemba
 
Kuna Mkulima mwenzangu mmoja aitwa Upepo wa Pesa natamani kweli kumuona kwenye hii mada,
Jamaa kwenye sekta ya kilimo na Ujasiriamali yuko vyema,
Karibu Mkuu
Tuko tunalitumikia taifa mkuu,ndio maana huku tuko mara chache!!

Everything is well!! Nadhani sasa "ushaniona kwenye hii mada" kama ulivyotanabaisha kwenye comment yako ya awali!!
Mkuu Shark anashindwa kukwambia tu vp saga la TMT ulipona mkuu,hahah.
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

Usisite kuomba msaada !!

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

Usisite kuomba msaada !!

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo


Na wewe unatafuta commission ya IB au???
 
N kwenda kwa babu tu.. akojoe Dagaaa...!


Mkuu ebu tusaidie utuondolee hii kero maana Jamaa ni kero halafu bado anawajibu watu kishenzishenzi tu...halafu nasikia bado watu wanachezea za USO ila wakilalamika ndo majibu nayo...tusaidie Mkuu kutuondolea hii kero.
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

Usisite kuomba msaada !!

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo
Kwa kila anaejisajili hapo kupitia hii link wewe unapewa pips ngapi?
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

Usisite kuomba msaada !!

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo
Humble African inabidi uanze kutoza pesa haya matangazo yanayoweka kwenye uzi wako wazee IB na commission
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

Usisite kuomba msaada !!

JISAJILI SASA

TemplerFX | Promo
Nyie nao mnatuboa bwana ,
 
Humble African inabidi uanze kutoza pesa haya matangazo yanayoweka kwenye uzi wako wazee IB na commission
Huyo nae hapaswi kupewa jina lingine zaidi ya tapeli tu...sababu kati ya mabroker vichomi na huyu yumo. Huyu Broker katulogea Kwenye mpesa tu ila kihuduma ni mbovu sana hacheleweshi kukutumia marginal call.
 
Back
Top Bottom