sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 831
hahahahaahahahah handle emotions emotions nilishazinyofoa zamani. hongera sema mpaka nilipofikia saizi nahisi zimepungua tofauti na kipindi cha nyuma. saizi labda kwenye margin call ikitokea ndo nitashtukaUnajua robot wanaweza kupata faida sana Kwenye Forex maana hawana emotional na adui mkubwa wa Forex ni emotional pekee.
Jaribu kutafuta best ways to handle emotions then you will be fine. Huu mtihani Mimi nilishaupita..emotions nilishazinyofoa zamani.
Kwa sasa siko Dar mkuu.
Kimya kimya wengine wanashukuru kwa knowledge waliopata na kujikata kivyao.nini hatma ya huyu Ontario aliyewaingiza chaka.?
~je utamshitaki?
~au ni kimya kimya?
~ontario anajiteteaje?
Unapopewa wazo la kibiashara inabidi nawewe uliweke kwenye mizani, kwahio na mimi nilifanya hivyo hivyo nikagundua I'm not smart enough for that thing called Forex business.RRONDO hivi ulifanikiwa kuingia TMT maana ulikuwa moto mwishoni mwa mwaka jana
Kimya kimya wengine wanashukuru kwa knowledge waliopata na kujikata kivyao.
Wengine wanataka kufungua malalamiko panapohusika.
Wengine wanagugumia moyoni kisiri siri.
Wengine Ndio kama hivi tunakuja JF kutoa tafadhali na kupunguza machungu. Maana wengine tukisema tuna cool down temper na maumivu.
hata boda imegoma wee jamaa wewe uenifurahisha sana. mimi nilikuwa nawaza jumba kubwa kama la rick ross ila saizi hata nyumba ya kupanga naona mabossMimi niliingiaga mzima..niliona tengeneza hadi dola 1500. Nilikuwa nikiwaona watu wana IST najisemea hawa watu wana akili kweli!?
Nikiona Range Rover au BMW nikichanganya na maneno ya Ontario mixer na profit ya $1500 nawadharau Sana wa spacio ila muda huu nawaheshimu hadi wa spacio tena Ahahaha. Maana hata boda imegoma.
Kwa mawazo yangu lakini si vyema kutrade wakati wa news kubwa kama NFP mpaka umeielewa vyema forex jambo jema jifunze strategy utakayoielewa vyemanili weka lot size kubwa na nikafungua position kama 4 hivi nikiamini kuwa after news price ita drop lakini baada ya hapoo ilipanda kwa kasi sana hadi kuunguza account na baadae kama masaa kadhaa ikashukaa taratibu
Naona umekuja kuchukua wafuasi kwa style ingine.Niko kwenye live account muda huu ni muda wa kazi...!
Demo ni kwa ajili ya hawa newbies. I'm about of be Forex Guru.
hahahahandio mkuu si unajua indicator nazo iz mda mwingne zin toa late signal na entry lakin iz fibs uakika tak los na entry
KUNA work hard na work smart sasa we chagua moja. maana kila kitu kiina hitaji akiliShort cut is always a long cut acheni kupenda mkato tumieni jasho na damu kupata pesa
Nitakutafuta mkuu..Yule dogo ni self made millionaire very reliable and smart.
Kwa sasa anatoa mafunzo bure hadi gerezani kwa watu wanaojieleaa kuinvest in Forex.
Kusoma ni must ila sio ile intensive. Utajikuta unakuwa too emotional then unarudi kule kule.
yule unaona anachukua hadi buku ten sembuse akupe weweHaaaa Ontario Nipe kidogo angalau Millioni 29
Dogo ntake radhi kwanza!Naona umekuja kuchukua wafuasi kwa style ingine.