Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Hakuna kosa Mwanaume hawezi kusamehe kama kujua mtoto aliyempata ndani ya ndoa na Mke wake sio mtoto wake wa damu.

Kuna jamaa angu aliwahi kusema, Siku atakayojua hivyo, ndiyo Siku atakayomlisha sumu huyo mtoto na Kumuua 🙌
Ni sahihi. Inaleta hisia ngumu kuikubali. Wanawake kaka wapo tricky sana. Mimi nilikua mwizi lakini Kuna time navaa viatu vya bwana mkubwa najikuta namuogopa kiumbe anaitwa mwanamke.
 
Ni sahihi. Inaleta hisia ngumu kuikubali. Wanawake kaka wapo tricky sana. Mimi nilikua mwizi lakini Kuna time navaa viatu vya bwana mkubwa najikuta namuogopa kiumbe anaitwa mwanamke.
Hakika, anaweza kuaga anakwenda kumsalimia Mama yake Mzazi huko Nansio Ukerewe, kumbe amefichwa na X wake Kinondoni anakesha anampa penzi, kisha mtoto unaletewa wewe umlee 🙌
 
Unamtaka Lissu au Mbowe??
 
Hapo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…