HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

hujuii hata hunu kuna c I a wakutosha jitekenye tuu
 
Ishu si kuwa majeuri, ujeuri huo ulisaidia nchi na wananchi au ulididimiza wananchi katakanumaskini wa kutupwa?
Unaweza kuwa na msimamo lakini usiwaumize wananchi
Wewe ni detective wa wapi?huyo buhari kashindwa pambana na magaidi wanaijeria wamekua matapeli maisha magumu.bora hata mugabe alikua anachinja tembo watu wanakula supu
 
Aljazeera.com documentary zake zote zipo YouTube na ndio channel yangu ninayo ikubali kwa habari za kimataifa hasa za Middle East.Juzi nimetoka kutizama Documentary moja maarufu wa uuzwaji wa dhahabu ya Zimbabwe na nishatizama nyingi sana.
Inaitwaje mkuu hii documentary?
 
Ndio maana mimi bado siamini kama JPM alikufa sijui kwa ugonjwa wa moyo, sijui alikua anaishi na betri. Siamini. Hayati Samola Macheli aliwahi kusema, "ukiona nasifiwa sana na Wazungu mjue nimeisha wauza"
 
Back
Top Bottom