Hivi ndivyo Viwango vya Sauti vinavyokubalika na "NEMC"

Hivi ndivyo Viwango vya Sauti vinavyokubalika na "NEMC"

Nipo grocery hapa naona kitu inasoma 98 hado 102
Wapigie NEMC upate pesa ya chap chap
Namba ya Dr.Gwamaka hii hapa chini
Screenshot_2023-05-08-21-37-43-968_com.android.contacts.jpg
 
Safi sana. Inabidi bar ziwe sound proof kabisa. Na kama ni za wazi inabidi ziwe kimya kama chumba cha mtihani.


Na nemc waanze kukamata majirani wanaopiga kelele hasa mida la kula mzigo na kunyanduana. Wanakuwa na makelele mengi na milio mingi na pwapwapwapwa za nguvu sana yaani kelele nyingi mno sisi tunashindwa kulala.
Kunyanduana Ni DB ngapi
 
Sijaona decibel za makanisa ya kilokole[emoji848]
 
Naona jinsi watu hawajui kupima dba sababu dba ina husishwa na umbali ukipima dba ukiwa mita 2 toka spika ilipo na ukapima mita 20 toka spika ilipo lazima majibu yatofautiane sasa ni umbali gani unahitajika ili kupata kipimo sahihi? Nadhani mnajua hata kama umefungulia mziki sauti ya chini akiingia umo ndani ambapo wapo wanywaji lazima atasema sauti ipo juu sababu yupo karibu na chanzo.

Inawezekana hata hizo baa walizofungia walienda kuppima dba humohumo baa badala ya kwenda kupima kwenye makazi ya watu ili ijulikane hiyo sauti inafika kwenye hayo makaazi ya watu? Ambao wanakereka na hizo kelele badala yakwenda kupima huko baa sehemu ambayo waliopo hawakereki na hizo kelele.

Hiyo dba 35 hata mtu akikoroma au wakilana inazidi hapo hata chura akifoka inazidi .
Pia hawajatoa elimu juu ya hizo dba maana wangekosolewa na kuonekana hawana akili .

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Naona jinsi watu hawajui kupima dba sababu dba ina husishwa na umbali ukipima dba ukiwa mita 2 toka spika ilipo na ukapima mita 20 toka spika ilipo lazima majibu yatofautiane sasa ni umbali gani unahitajika ili kupata kipimo sahihi? Nadhani mnajua hata kama umefungulia mziki sauti ya chini akiingia umo ndani ambapo wapo wanywaji lazima atasema sauti ipo juu sababu yupo karibu na chanzo.

Inawezekana hata hizo baa walizofungia walienda kuppima dba humohumo baa badala ya kwenda kupima kwenye makazi ya watu ili ijulikane hiyo sauti inafika kwenye hayo makaazi ya watu? Ambao wanakereka na hizo kelele badala yakwenda kupima huko baa sehemu ambayo waliopo hawakereki na hizo kelele.

Hiyo dba 35 hata mtu akikoroma au wakilana inazidi hapo hata chura akifoka inazidi .
Pia hawajatoa elimu juu ya hizo dba maana wangekosolewa na kuonekana hawana akili .

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Nice Explanation Sir๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Ha ha ha, nikimchoma nafsi yangu itanihukumu maana mzee mwenyewe ndio kijiwe anategemea, ameshastaafu tangu kuamka hadi kulala hana mishe nyingine zaidi ya grocery alafu haichanganyi sana.
Mbali na mambo ya ku-report, but itakusaidia pia pale unapotaka kuanzisha miradi ya kimkakati kupitia Environment Impact Assessment (Tathmini Ya Athari Kwa Mazingira).
 
Hapa kijijini bitaraguru hizo decibel nazipimaje?
 
Back
Top Bottom