PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Kuhusu quality ya msosi nawapa big up....ila quantity mmechemka sana msosi kidogo sana mkuu.
Huku Dar samaki analiwa upande wa kwanza, halafu tunamgeuza upande wa pili.Mwanaume wa dar huyo samaki tu hamalizi
Huu msosi umeandaliwa kiushabiki.Hivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!View attachment 380237 View attachment 380221
jiheshimu...kam anakaa masak sawa..sio tandale..Mwanaume wa dar huyo samaki tu hamalizi