Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
mwanaume wa dar...mwanamke wa mkoani akija dar hata akiwa mke wa tajiri wa mkoa huku analiwa na muosha magari tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanaume wa dar...mwanamke wa mkoani akija dar hata akiwa mke wa tajiri wa mkoa huku analiwa na muosha magari tu....
Hivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
Dah, watu wa kijijini wabishi nyie! Nimekwambia hivi, huku Dar ndio kusanyiko kuu. Kila utakachokifanya Dar basi tutasingiziwa sisi. Jamani eeh, Dar kuna wanaume na wahamiaji. Sisi tuliozaliwa Ocean Road ndio wanaume wa mji huu, hawa watoto wa rangi mbili na kuvaa hereni ni matokeo ya nyie watu wa mashambani kuja kuzalia Aga Khan mkishauza mbaazi zenu na kufikiri mnawapenda watoto wenu kuwazoesha chips.kwanini wanaume wa dar wanavaa vijinsi vinavyobana alafu wanapaka rangi kucha, wanajichubua, ??
Hujajibu swali mwanaume dar, UTASAKAJE PESA KAMA HUJALA CHAKULA CHA MAANA (so chips yai na fanta)??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jamaa alitoka sijui tanga au dar kama sikosei.khaaa jamaa kuvunja tu biskuti hawezi hadi ilowekwe!yaani hadi nilimuuliza kama ana nguvu hata kujisaidia chooni
Wanaume mwisho chalinze dar wote wavulanaHivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
Dah, watu wa kijijini wabishi nyie! Nimekwambia hivi, huku Dar ndio kusanyiko kuu. Kila utakachokifanya Dar basi tutasingiziwa sisi. Jamani eeh, Dar kuna wanaume na wahamiaji. Sisi tuliozaliwa Ocean Road ndio wanaume wa mji huu, hawa watoto wa rangi mbili na kuvaa hereni ni matokeo ya nyie watu wa mashambani kuja kuzalia Aga Khan mkishauza mbaazi zenu na kufikiri mnawapenda watoto wenu kuwazoesha chips.
Hivi, unajua kkutofautisha mwanaume na mvulana?
Dar mbona haya tunayafanya sana mkuu, tena kuni tunapata usuani ambako hawajui kuzitumia, wakipunguza michongoma wao wanaona taka, sisi kwetu ni nishati.
Itabidi nikukarubishe uje ule mr BAK.Kumbe nawe unajua kusonga ugali eeh! Bomba sanaaa
Itabidi nikukarubishe uje ule mr BAK.
Kwani wewe Msukuma? Usukumani mkikaribishwa ugali haumoanani ni ka mlima kanawekwa juu ya meza.Shukrani sana lazima nitinge kuja kuonja mapishi yako, ila ugali shurti uwe mkubwa siyo ule wa kuishia kwenye meno.
Majitu ya kijijini shida sana. Ukiona mtu kaandika namna hiyo, hiyo ni error sio mistake. Hujajibu swali langu mshamba. Umewahi kufika Dar?=kutofautisha
Mwanaume wa dar naona hujui hata kuandika!!
I see!!! karib kijiji mwanaume wa dar!!Majitu ya kijijini shida sana.
Which means you're not serious!! is that right mwanaume wa dar?? i bet ulikua unaandika ukiwa umejipaka losheni hhehehee!!!Ukiona mtu kaandika namna hiyo, hiyo ni error sio mistake.
Why do i need to answer this question mwanaume wa dar???Hujajibu swali langu mshamba. Umewahi kufika Dar?
Poa. Nenda ukalale asubuhi uwahi kupalilia migomba ili kwamba ndizi zisipungue huku mjini tukashindwa kula nyama choma. Sawa jembe?I see!!! karib kijiji mwanaume wa dar!!
Which means you're not serious!! is that right mwanaume wa dar?? i bet ulikua unaandika ukiwa umejipaka losheni hhehehee!!!
Why do i need to answer this question mwanaume wa dar???
Call me upepo wa pesa....au mwanaume wa mkoani!! whatever suits you!!Poa. Nenda ukalale asubuhi uwahi kupalilia migomba ili kwamba ndizi zisipungue huku mjini tukashindwa kula nyama choma. Sawa jembe?
By the way, losheni ndio kitu gani?
Wanaume wa mikoani kwanini mnanuka midomo?Kuna jamaa alitoka sijui tanga au dar kama sikosei.khaaa jamaa kuvunja tu biskuti hawezi hadi ilowekwe!yaani hadi nilimuuliza kama ana nguvu hata kujisaidia chooni