Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Tabora wanaume wameharibika na tumbaku...kina mama wa huko tuko nao Dar tunawahudumia.
Rombo kwisha habari, wao wanakodi wanaume Kenya, hii hata kwenye kumbukumbu za Bunge ipo.
Arusha wamezaliwa na maradhi, ndio maana saa zote wanakula mikongoraa. Bila kula booster kila mtu ni kaka na dada
Mtwara na Tanga ni sawa na Dar, wanaume wapo...salam aleikhum kwa watu wa pwani.
Kanda maalum Tarime na Rorya huku ndio wanaume wa kijijini wanaweza kunyoosha kidole...isingekuwa kizazi hiki saa hizi kina Ruttashobolwa wangekuwa wameolewa wote na NDULI.
Sasa nyinyi watoto msio na adabu, kila kuitwapo leo mnabana pua wanaume wa Dar, wanaume wa Dar, lini mlisikia Dar tunaagiza mikongoraa ili tuweze kulala na wake zetu?
Rombo kwisha habari, wao wanakodi wanaume Kenya, hii hata kwenye kumbukumbu za Bunge ipo.
Arusha wamezaliwa na maradhi, ndio maana saa zote wanakula mikongoraa. Bila kula booster kila mtu ni kaka na dada
Mtwara na Tanga ni sawa na Dar, wanaume wapo...salam aleikhum kwa watu wa pwani.
Kanda maalum Tarime na Rorya huku ndio wanaume wa kijijini wanaweza kunyoosha kidole...isingekuwa kizazi hiki saa hizi kina Ruttashobolwa wangekuwa wameolewa wote na NDULI.
Sasa nyinyi watoto msio na adabu, kila kuitwapo leo mnabana pua wanaume wa Dar, wanaume wa Dar, lini mlisikia Dar tunaagiza mikongoraa ili tuweze kulala na wake zetu?