BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Mtt mzuri kama huyo kukaa mikoani ni kumtesa tu aje town apikie gesi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatzo mikoani wengi wao wanaweka kwenye vibubuKila siku kazi ya kujisifia kula tu badala ya kujisifia michongo ya hela... Mnatudhalilisha wa mikoni wenzenu!! Mwanaume wa kweli hasifiwi kula... weka bank statement wamikoani VS wadar
HahahahahTatzo mikoani wengi wao wanaweka kwenye vibubu
[emoji1] [emoji87]Mwanaume wa dar huyo samaki tu hamalizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja waje wako beach wanakula chocolate
Hahahahahaha stori za bunuasiNi nyie mliozaliwa mashambani ndio mkija huku mnafakamia chips kuku na mayai, sisi wazawa wa Ocean Road hivyo vitu tunanunulia mademu zetu na wake zenu wakija mjini ili warukwe akili tumege.
Hivi kwa akili yako, matenga ya kuku wa kienyeji mnayopakia kuja huku mjini na ng'ombe zenu nyie wakulima unadhani vinasafirishwa nje? Tunakula dona na nyama choma. Chips kuku ni kwa ajili yenu na mahausgel tunaowaagiza kutoka huko kwenu. Karibu mjini jembe
wewe nae kilaza kweli,usipokula hiyo michongo utaifanyaje?Kila siku kazi ya kujisifia kula tu badala ya kujisifia michongo ya hela... Mnatudhalilisha wa mikoni wenzenu!! Mwanaume wa kweli hasifiwi kula... weka bank statement wamikoani VS wadar
Lazima watokwe na mapovu wao kushinda kwenye magenge ya chips na soseji ndio wanaona ujanjaBhuahahahahaha duh wanaume wa dar slam naona wanatokwa na mapovu