Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Aya umeandika sana, nenda ukale chips yai na fantaHuku Dar samaki analiwa upande wa kwanza, halafu tunamgeuza upande wa pili.
Huyo mama haonekani kama mwanamke wa shamba, hiyo ni hapa Dar na hizo ndio style zetu. Shida yenu mkimuona Diamond kwenye mabanda mnakoenda kuangalia 'fideo' mnadhani hao ndio wanaume wa Dar. Ukitaka kutuona wanaume wa Dar, njoo Dar na mkeo akiwa ameoga...hatufai!
Wanaume wa dar wavivu mpaka kuandika?????jiheshimu...kam anakaa masak sawa..sio tandale..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar wavivu mpaka kuandika?????
=kama
=masaki
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar wavivu mpaka kuandika?????
=kama
=masaki
Duuu!!!Hivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
Tuwasaidie vema vijana wa vilaini wasiaibishe Taifa papuchi zikaruka nje ya nchi...dawa nikuwapigia mashine papuchi zao tu hadi wabadilike wanajijua utaona wakija hapa.Hivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
Ndio maana wake zetu hawachepuki ovyoHivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
hahahaha wazee wa buku 7 lumumbaHehehe uchokozi
Kuna wengine hawajakiona kitonge mkuu
Unawapa udenda
na mwanaume wa kweli hasifiwi kula chips kavu na fanta orange!!! by the way ukila chips nusu sahani na fanta nusu utapata wapi umakini wa kuzisaka pesa?? kula kwanza upate nguvu then u make money!!!! come on dude!!Kila siku kazi ya kujisifia kula tu badala ya kujisifia michongo ya hela... Mnatudhalilisha wa mikoni wenzenu!! Mwanaume wa kweli hasifiwi kula... weka bank statement wamikoani VS wadar
Mkuu hapo ni empty!!! msosi gani huo??? hata mtoto hashibi?Kwetu hicho chakula n cha mtoto wa miezi mi3.... Mwanaume hawez kula kiugali kama ngumi
Haya mapishi ni ya Dar, Mikoni hawatumii mboga hizo zote kwa wakati mmoja.Hivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
Kuna sehemu sio wavivu, tuletee mkeo halafu subiri nje akitoka akupe majibu. Au mnajifanya kuwa hamuogopi wake zenu kuja mjini?Wanaume wa dar wavivu mpaka kuandika?????
=kama
=masaki
Ni nyie mliozaliwa mashambani ndio mkija huku mnafakamia chips kuku na mayai, sisi wazawa wa Ocean Road hivyo vitu tunanunulia mademu zetu na wake zenu wakija mjini ili warukwe akili tumege.na mwanaume wa kweli hasifiwi kula chips kavu na fanta orange!!! by the way ukila chips nusu sahani na fanta nusu utapata wapi umakini wa kuzisaka pesa?? kula kwanza upate nguvu then u make money!!!! come on dude!!
Sasa kuna umuhimu gani wakuekewa dagaa na samakiHivi ndivyo wanaume wa mikoani tunavyo andaliwa chakula safi huwa hatunaga tabia za kujazana kwenye magenge ya chipsi na soseji kama wanaume wa dar!
View attachment 380237 View attachment 380221
kwanini wanaume wa dar wanavaa vijinsi vinavyobana alafu wanapaka rangi kucha, wanajichubua, ??Ni nyie mliozaliwa mashambani ndio mkija huku mnafakamia chips kuku na mayai, sisi wazawa wa Ocean Road hivyo vitu tunanunulia mademu zetu na wake zenu wakija mjini ili warukwe akili tumege.
Hivi kwa akili yako, matenga ya kuku wa kienyeji mnayopakia kuja huku mjini na ng'ombe zenu nyie wakulima unadhani vinasafirishwa nje? Tunakula dona na nyama choma. Chips kuku ni kwa ajili yenu na mahausgel tunaowaagiza kutoka huko kwenu. Karibu mjini jembe