Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Lengo kuu la kuingia kwenye ndoa tangu enzi za mababu ni kupata mtu wa kuchakatana naye. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kufunga ndoa..

Ndoa ilikuwa na maana na muhimu zaidi enzi za mababu kwasabb ilikuwa haiwezekani kumpata mtu wa kuchakatana naye bila ndoa. Watu walikuwa na maadili ya "kufa mtu".

Mtu alikuwa yuko tayari kufa na utamu wake kuliko kuchakatana nje ya ndoa. Sasa ndugu zangu dunia ya leo suala la kumpata mtu wa kuchakatana naye si ni rahisi kuliko kupumua? (in magu's voice).

Kama hivyo ndivyo ya nini kujipa presha kwenda kujifungia na jitu moja maisha yote halafu muanze kusumbuana? Kwann unaidanganya nafsi?

Kama unataka mtoto chakataneni kisha leeni mtoto lkn kila mtu aendelee na maisha yake. Ukitaka mwingine nenda kwa mwingine, fanya hivyo hivyo.

Usije na swaga za ooh unajua ni dhambi kuzini. Wee! Kakuambia nani walio kwenye ndoa hawazini?? Tena ndiyo wanaongoza.

Dhana ya ndoa imepitwa na wakati, maadili yameporomoka sana. Kama maziwa ya bure yamejaa tele mitaani unafuga ng'ombe wa nini?

1625055412217.png
 
Lengo kuu la kuingia kwenye ndoa tangu enzi za mababu ni kupata mtu wa kuchakatana naye. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kufunga ndoa..

Ndoa ilikuwa na maana na muhimu zaidi enzi za mababu kwasabb ilikuwa haiwezekani kumpata mtu wa kuchakatana naye bila
Huna akili ww....
wasimamizi wa kwanza wa maadili mema ni wazazi......
ukikaa magetoni utazaa watoto wa geto....
ndio chanzo cha wahuni na washenzi....
 
Huna akili ww....
wasimamizi wa kwanza wa maadili mema ni wazazi......
ukikaa magetoni utazaa watoto wa geto....
ndio chanza cha wahuni na washenzi....
Unataka kusema waovu na wahuni wote duniani ni watoto wa geto? Aliyekwambia hivyo kakudanganya sana.
 
Naona unadaganya wenzako humu JF
Huo ndiyo uhalisia. Bado hujairuhusu akili yako kukubaliana na ukweli huu.

Ndiyo maana kila siku malalamiko hayaishi kwa wanandoa.

Ndiyo maana mauaji ya wanandoa yanaongezeka kila kukicha.

Ni kwasababu mnalazimisha maji ya mto kupanda mlima.
 
Ndoa sio lile tendo tu, yapo mambo ya ziada, Mfano
Kulea watoto katika maadili mema ya baba na mama ya kumpendeza Mungu.

Kuwapatia watoto elimu bora, mavazi malazi na makazi yawasaidie kwa maisha yao ya kesho.

kutengeneza mji wenu kuendeleza kizazi bora nk.

unadhan ukizaa zaa ovyo haya utayafanyia wapi, familia ina umuhimu mno.

au unadhani ni rahisi kuzaa zaa ovyo kama kuku.
 
Huo ndiyo uhalisia. Bado hujairuhusu akili yako kukubaliana na ukweli huu.

Ndiyo maana kila siku malalamiko hayaishi kwa wanandoa.

Ndiyo maana mauaji ya wanandoa yanaongezeka kila kukicha.

Ni kwasabb mnalazimisha maji ya mto kupanda mlima.
Kila sehemu Kuna changamoto na mauaji hutokea tu kokote regardless ya ndoa, hata kuwa single pia Kuna changamoto zake.
So na mapungufu hayatakaa Kwisha
 
Lengo kuu la kuingia kwenye ndoa tangu enzi za mababu ni kupata mtu wa kuchakatana naye. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kufunga ndoa..

Ndoa ilikuwa na maana na muhimu zaidi enzi za mababu kwasabb ilikuwa haiwezekani kumpata mtu wa kuchakatana naye bila

Kama maziwa ya bure yamejaa tele mitaani unafuga ng'ombe wa nini??
Inategemea unataka kuishi maisha gani na legacy unayotaka kuiacha in the future iwe ipi
 
Back
Top Bottom