Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

Hivi ndoa ina umuhimu gani zama hizi za dunia ya utandawazi?

Sasa huwezi mkuta mtu mwenye akili zake timamu na uwezo wa kufikiri uliokamilika aseme hakuna sababu ya NDOA eti sababu siku hizi ni rahisi kupata mtu wa kufanya naye uchafu wa ngono zembe. really?
Mkuu umeandika maandishi mengi sana lkn umeishia kuzunguka mbuyu wa mada yangu.

Kwanza umekubali kwamba siku hizi kumpata mtu wa kuchakatana ni rahisi kama kupumua. Na ukasema ndiyo sabb magonjwa ni mengi zaidi.

Pili umetaja sabb za kubuni kuhalalisha umuhimu wa ndoa.
1. Heshima. Nani anaheshimika kwasabb ya ndoa? Au heshima unayoitaja hapa ni tofauti na ninayoifahamu? Wewe na Anna Makinda ambaye hajawahi kuolewA nani anaheshimika? Wewe na Nancy Pelos spika wa bunge la Marekani nani anaheshimika?

Kuna michepuko kibao ya mume na/au mke wa mtu. Hiyo heshima ni ipi?

2. Kulea watoto kimaadili. Umedai mtoto anayelelewa na baba au mama peke yake ni time bomu. Hapa pia hujafanya utafiti hivyo huna haki ya kuja na hitimisho hili.

Watu wengi waliofanya makubwa dunia hii ni ama yatima au walio lelewa na mzazi mmoja. Mfano Isaack Newton, Trump, Hitler, Kanumba, Diamond, Zuchu, n.k.

Rudi kajipange uje upya. Na nikutahadharishe kuwa unaongea na mtu mwenye akili nene. Hivyo njoo na sababu zenye shibe.
 
Kuiona stara nayo inategemea ntu na ntu. Ni subjective.

Na kwasabb ni subjective basi hakuna umuhimu wa ndoa ambao ni common. Hivyo ni jambo fulani tu hivi ambalo ni optional. Si ndo maana yake?

Na kama ndivyo, kwa vyovyote vile unakubaliana nami kuwa ndoa haina umuhimu.
Yes! yes! marriage is something important but not must...

Ndoa ni kitu cha muhimu lakini sio cha lazima

So kama una ona kwako sio lazima basi we kamata pisi kali gegeda achana nae
Nunua malaya zaa nae mlee
Ukitaka mtoto mwingine vizia vizia huko mtaani mtoto wa shehe zaa nae
Mlee akiwa kwao..
Ukitaka mwingine vizia mtoto wa mchungaji zaa nae mleee n.k,n.k

Alafu habari za ndoa we achana nazo tuachie sisi tunaoamini katika ndoa
Usiforce tufanane!
 
Habari za ndoa Achana nazo mkuu!

We Fanya ishu zako nyingine!
We ndo umeonge. Hawa wengine wameshupalia jambo wasilolijua. Wamefata mkumbo tu.

Yaani hawajui lkn hawajui kuwa hawajui. Ni hatari sana.
 
Hazina umuhimu, tuachane nazo, tufanye mambo mengine....
Siku mume kafa au kapatwa na,shida utamfuata nani nakama nani.
Umuhimu wa ndoa hata hawara anakutambuA mume wangu ni halali yangu hata akiwa bar amevaa pete ya ndoa akiwa guest wewe unatambua kuwa ni mume wangu.

Akipata shida mpigie mke wangu aje .
NIMEOLEWA NANINAJUA UMUHIMU WAKE.
 
Siku mume kafa au kapatwa na,shida utamfuata nani nakama nani.
Umuhimu wa ndoa hata hawara anakutambuA mume wangu ni halali yangu hata akiwa bar amevaa pete ya ndoa akiwa guest wewe unatambua kuwa ni mume wangu.

Akipata shida mpigie mke wangu aje .
NIMEOLEWA NANINAJUA UMUHIMU WAKE.
Sijakuelewa hata...
 
Umuhimu wa ndoa hata hawara anakutambuA mume wangu ni halali yangu hata akiwa bar amevaa pete ya ndoa akiwa guest wewe unatambua kuwa ni mume wangu.
Kumbe umuhimu wa ndoa ni kiduchu kama uduvi namna hii..! Kutambuliwa tu?

Hata mm natambulika sana kwenye vikoba na vigodoro. Naitwa Fatma Mcharuko. Uliza hata chizi hapa Manzese utanipata.
 
Kumbe umuhimu wa ndoa ni kiduchu kama uduvi namna hii..! Kutambuliwa tu??

Hata mm natambulika sana kwenye vikoba na vigodoro. Naitwa Fatma Mcharuko. Uliza hata chizi hapa Manzese utanipata.
Yaani laiti mngejua kuwa kuna umuhimu wakuolewa hivi usiku mtu hupo na mke wake wewe umepata shida atatokaje kuja kukusaidia? Tuambizane ukweli kuna umuhimu wakuwa mke halali kuna utofauti upo sana kati ya mke wa halali na ambaye siyo msidanganywe mbona wao wanaoa?
 
Yaani laiti mngejua kuwa kuna umuhimu wakuolewa hivi usiku mtu hupo na mke wake wewe umepata shida atatokaje kuja kukusaidia?
Aah katoto kazuri hili tu? Hapa Manzese tumebanana kiasi kwamba mtu akihema chumba cha jirani tunamsikia. Akikohoa sana huko chumbani tunamuuliza mama fulani vipi hicho kikohozi kuna usalama?

Lkn pia ishi hata ndugu au jamaa zako wengine siyo lazima mume.
 
Nadhani wengi mmekariri kwamba dhambi ni uzinzi tu. Kuna dhambi za kutenda, kuwaza na kunena. Tangu uamke mpk sasa ushatenda dhambi nyingi Sana. Ndiyo maana Kuna andiko linasema: "tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya". Na ndiyo maana imekatazwa kuhukumu kwa sote tu wadhambi.

Kama unaacha kuchakatana ukifikiri ndiyo utaurithi ufalme wa mbinguni pole yako
Nimecomment juu ya kuchakatana maana ndo mada iliyokua juu ya meza, angeongelea wizi ningecomment za same juu ya wizi au dhambi yoyote tajwa. My bottom line is, ukijiona unafanya dhambi yoyote na unaona uko poa tu na dhamira haikusuti ujue, hauna uwepo wa Mungu/Roho Mtakatifu ndani yako.
 
Kuiona stara nayo inategemea ntu na ntu. Ni subjective.

Na kwasabb ni subjective basi hakuna umuhimu wa ndoa ambao ni common. Hivyo ni jambo fulani tu hivi ambalo ni optional. Si ndo maana yake?

Na kama ndivyo, kwa vyovyote vile unakubaliana nami kuwa ndoa haina umuhimu.
Jambo alilolisistza M/MUNGU halina option Kwa mwadamu
 
Jambo alilolisistza M/MUNGU halina option Kwa mwadamu
Mwenyezi Mungu alisisitiza kuheshimiwa kwa ndoa pia. Je, watu wanaheshimu ndoa zao? Jibu ni hapana.

Sasa hivi mtu analala na mwenza huku anawaza ama anachat na mchepuko. Ya nn kumuudhi Muumba!??

Bora kunywa maziwa ya kununua tu
 
Mwenyezi Mungu alisisitiza kuheshimiwa kwa ndoa pia. Je, watu wanaheshimu ndoa zao? Jibu ni hapana.

Sasa hivi mtu analala na mwenza huku anawaza ama anachat na mchepuko. Ya nn kumuudhi Muumba!??

Bora kunywa maziwa ya kununua tu
Huo ni ukengeukaji wa binadamu lakini uhalisia utanaki palepale sheria za M/MUNGU hazina option katika kuzifanya...ndio maana ukasema mtu ana ndoa halafu anamchepuko kumbe tayari sheria kafuata sema tamaa zake tu.
 
Huo ni ukengeukaji wa binadamu lakini uhalisia utanaki palepale sheria za M/MUNGU hazina option katika kuzifanya...ndio maana ukasema mtu ana ndoa halafu anamchepuko kumbe tayari sheria kafuata sema tamaa zake tu.
Hapa bado hujanishawishi mkuu.

Kama unakubali wanandoa wanachepuka, huku ukijua M/Mungu katoa sheria ya kukataza uzinzi, na unajua kwamba kwa Mungu ukivunja sheria moja tu pepo huioni.

Sasa Kuna umuhimu gani kufuata sheria ya ndoa halafu ukaivunja sheria inayokataza uzinzi??
 
Naona mtoa mada wewe ni mpagani huna dini au mwabudu mizimu. Kila kitu Mwenyezi Mungu alikiweka kwa utaratibu wake, alianzisha misingi ya taratibu ya ndoa kusudi kutengeneza familia bora yenye malezi, nidhamu, uchaji, upendo na kuandaa taifa kunzia ngazi hiyo.

Utafiti wako kuhusu maadili ya zamani naona haujitoshelezi sijui umefanya kwenye kabila gani , mf makabila ya kaskazini wachaga na masai wazazi wengi walizalisha nje ya ndoa zao kutokanana mila zao , wamasai waliogopa kitu kinaitwa chungu yaani laana ilibidi wamama wengi wazae nje ya ndoa kwa kuogopa chungu,uchagani waliita radhi yaani laana ambayo ilikuwa inafatilia damu au kizazi fulani, ulikuta familia ina watoto kumi , watatu ni wa nje ya ndoa.
 
Lengo kuu la kuingia kwenye ndoa tangu enzi za mababu ni kupata mtu wa kuchakatana naye. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kufunga ndoa..

Ndoa ilikuwa na maana na muhimu zaidi enzi za mababu kwasabb ilikuwa haiwezekani kumpata mtu wa kuchakatana naye bila ndoa. Watu walikuwa na maadili ya "kufa mtu".

Mtu alikuwa yuko tayari kufa na utamu wake kuliko kuchakatana nje ya ndoa. Sasa ndugu zangu dunia ya leo suala la kumpata mtu wa kuchakatana naye si ni rahisi kuliko kupumua? (in magu's voice).

Kama hivyo ndivyo ya nini kujipa presha kwenda kujifungia na jitu moja maisha yote halafu muanze kusumbuana? Kwann unaidanganya nafsi?

Kama unataka mtoto chakataneni kisha leeni mtoto lkn kila mtu aendelee na maisha yake. Ukitaka mwingine nenda kwa mwingine, fanya hivyo hivyo.

Usije na swaga za ooh unajua ni dhambi kuzini. Wee! Kakuambia nani walio kwenye ndoa hawazini?? Tena ndiyo wanaongoza.

Dhana ya ndoa imepitwa na wakati, maadili yameporomoka sana. Kama maziwa ya bure yamejaa tele mitaani unafuga ng'ombe wa nini?

Ask God not people...
 
Naona mtoa mada wewe ni mpagani huna dini au mwabudu mizimu. Kila kitu Mwenyezi Mungu alikiweka kwa utaratibu wake
Mungu yupi anataka watu waoane halafu waanze kuchepuka?? Au unataka kusema wanao chepuka wote ni wanandoa wapagani? Itendee haki nafsi yako mkuu.
 
Mungu yupi anataka watu waoane halafu waanze kuchepuka?? Au unataka kusema wanao chepuka wote ni wanandoa wapagani? Itendee haki nafsi yako mkuu.
Mungu Mwenyezi alishaweka utaratibu na wanadamu hatuna budi kuufuata, swala la mchepuko ni tabia zile la dhambi ya kurithi kutoka kwa Adam kukataa maagizo ya Mungu na kumtii shetani. Uchepukaji ni uchafu, uzinzi mbele za Mungu. Linabaki uutii Mungu au adui shetani?
 
Back
Top Bottom