Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndoa ni kama zilivyo Imani....
Hauhitaji nguvu kuanza kumshawishi mtu aone au asione umuhimu wake.
Anaeamini kuna Mungu anamuomba na mambo yake yananyooka....
Anaeamini katika matunguli anayatumia na mambo yake yanamnyookea....
Anaeamini hakuna Mungu, nae mambo yake yanamnyookea pia...
Vivyo hivyo katika ndoa kuna watu ndoa zao ni uwanja wa vita hauwezi kumuambia ndoa ni amani akaelewa.
Kuna watu ndoa zao ni amani hadi ukimuambia kugombana kupo anaweza asikuelewe watu wanagombanaje.
Haihitajiki nguvu kumshawishi mtu, na huyo mkeo/ mmeo sio wa ndoa zote kuna mwenye garasa, kuna mwenye joker n.k....
Hauhitaji nguvu kuanza kumshawishi mtu aone au asione umuhimu wake.
Anaeamini kuna Mungu anamuomba na mambo yake yananyooka....
Anaeamini katika matunguli anayatumia na mambo yake yanamnyookea....
Anaeamini hakuna Mungu, nae mambo yake yanamnyookea pia...
Vivyo hivyo katika ndoa kuna watu ndoa zao ni uwanja wa vita hauwezi kumuambia ndoa ni amani akaelewa.
Kuna watu ndoa zao ni amani hadi ukimuambia kugombana kupo anaweza asikuelewe watu wanagombanaje.
Haihitajiki nguvu kumshawishi mtu, na huyo mkeo/ mmeo sio wa ndoa zote kuna mwenye garasa, kuna mwenye joker n.k....