Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Legacy' ya ndoa huwa ni jina la ukoo tu. Zaidi ya hapo hakunagalegacy unayotaka kuiacha
Umefunga uzi huu Mkuu.... mleta mada afuate moyo wake unamwambia nini. Achague kusuka au kunyoa...Ndoa ni kama zilivyo Imani....
Hauhitaji nguvu kuanza kumshawishi mtu aone au asione umuhimu wake.
Anaeamini kuna Mungu anamuomba na mambo yake yananyooka....
Anaeamini katika matunguli anayatumia na mambo yake yanamnyookea....
Anaeamini hakuna Mungu, nae mambo yake yanamnyookea pia...
Vivyo hivyo katika ndoa kuna watu ndoa zao ni uwanja wa vita hauwezi kumuambia ndoa ni amani akaelewa.
Kuna watu ndoa zao ni amani hadi ukimuambia kugombana kupo anaweza asikuelewe watu wanagombanaje.
Haihitajiki nguvu kumshawishi mtu, na huyo mkeo/ mmeo sio wa ndoa zote kuna mwenye garasa, kuna mwenye joker n.k....
Ndio kama nilivyoandika hapo ndoa kama Imani....Ndoa za hivi ni EXTINCT. Na hata kwenye mada yangu nimeelezea (aya ya pili).
Mbona kama Evelyn Salt unataka kukwepa kutoa majibu halisi kwa kujificha kwenye kichaka cha Imani??Ndio kama nilivyoandika hapo ndoa kama Imani....
Okay dada/kaka kungwi.... kwanini makungwi wengi huwa wanaachika/hawana ndoa?Mimi Sexless ni kungwi ujue. Naona nakusikia mengi.
Makungwi wengi ni watu wenye akili nene na wanajitambua. Hii ndiyo sababu.Okay dada/kaka kungwi.... kwanini makungwi wengi huwa wanaachika/hawana ndoa?
Wala sikwepi wala sijifichi kwenye imani...Mbona kama Evelyn Salt unataka kukwepa kutoa majibu halisi kwa kujificha kwenye kichaka cha Imani??
Kama ni imani, tuambie Imani hii inapatikanaje ama inajengwa vipi ili kunusuru mamilioni ya ndoa zilizo mashakani. Karibu
ππππ Sasa kwanini sie wenye akili nyembamba mnazidi kutupa madini ya kuwakoleza ili tusitoke?Makungwi wengi ni watu wenye akili nene na wanajitambua. Hii ndiyo sababu.
Una imani habaLegacy' ya ndoa huwa ni jina la ukoo tu. Zaidi ya hapo hakunaga
Hapo tunakuwa kikazi zaidi. Tunataka pesa.ππππ Sasa kwanini sie wenye akili nyembamba mnazidi kutupa madini ya kuwakoleza ili tusitoke?
This is just a myth.true' love
Ukisikia mtu anaongea negative kuhusu ndoa ujue tayari ndoa yake imevurugika, ...Mambo yamekuendea mrama kwako usidhan na wengine.View attachment 1835438
really? yaani ukikaa na mtu mmoja ukatulia then miraculously mnakufa na magonjwa ya ngono?Hazina umuhimu kwanza zimeleta mambo haya
1.kufa Kwa magonjwa ya zinaa
2.kuwa maskini
3.kuwa na msongo Wa mawazo