Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Ni utaahira, hakuna mtu mchakarikaji anaezaeka hela huko, wanaweka matajiri ambao hela zao zinaezakas bank bila withdraw kwa 10 yrs, wasomi ndo wana mawazo mgando ya uttMtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi