Hivi ni akili , uoga au upumbavu kuhusu UTT ?

Hivi ni akili , uoga au upumbavu kuhusu UTT ?

UTT haina stress.

Hilo banda la laki saba, mara TRA hao hapo, mara halimashauri hao hapo, bado bidhaa zikudodee, bado upigwe na nduguzo, mara vibaka wamepita...
Nanren ukitaka kujiondoa je unauwezo wa kutoa principal pamoja na faida kwa pamoja?au unatoa profit pekee?
 
Aisee kumbe ukipata billion bongo wee nikula mbussus mpaka unadata.
So rougly kila mwezi wee una mil 15 zakutumia.

Ndo nilichosema hapo juu wee ni mbusuu tuu huku hiyo hela ikiliwa kibamia kitafutika 😆😆😆😆🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Aiseeeh natania tuu usije kunijia juu bureee aahahahahahhaaa.

Ila hapo faida kwa mwezi ni milioni 159 sio 15.

Ukiuza ile ghorofa pale Kariakoo 4Bn. wekeza UTT unaachana na ghasia za kuangukia watu na kuleta maafa.
 
Kuweka maneno sawa, utt inatakiwa uweke pesa ya kustaafu, urithi au pesa za deal chafu serikalini.
Manake kiuhalisia kama mtu anaweza kutafuta hiyo pesa ndefu hawezi kuiweka utt,
Eti kiuhalisia.
 
Ndo nilichosema hapo juu wee ni mbusuu tuu huku hiyo hela ikiliwa kibamia kitafutika 😆😆😆😆🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Aiseeeh natania tuu usije kunijia juu bureee aahahahahahhaaa.

Ila hapo faida kwa mwezi ni milioni 159 sio 15.

Ukiuza ile ghorofa pale Kariakoo 4Bn. wekeza UTT unaachana na ghasia za kuangukia watu na kuleta maafa.
Wee faida 159 hizi hesa u za wapi wee mnyamwezi
 
Wabongo bwana. Mtu anaandika kinachomjia kichwani tu. Hivyo vibanda vya chips vyenye hiyo return viko vingapi wakati kila siku watu wanafungua vibanda na vinakufa. Halafu hiyo know how na muda na mazagazaga yote ya kuendesha kibanda cha chips ni kila mtu anaweza? Malengo na hali za watafutaji ni tofauti ndiyo maana kila mtu anachagua eneo analoona ni rahisi kwake.
Nawashangaa. Hivi kila mtu akibanana kwenye hizo biashara nani atakuwa mlaji. Mtaani wauza chips wako kibao na maisha yao tunayajua. Wachache sana wanaingiza kipato kizuri. Mimi nafanya kazi, sina muda wala siwezi kufanya biashara. Lakini nina uhakika wa kuweka 2 m UTT na sasa hivi nina hela nzuri tu.
Kila mtu afanye anachokiweza.
 
Wee faida 159 hizi hesa u za wapi wee mnyamwezi

Wee hujasoma vizuri yale masefuri kule mbele? 😆😆😆
Hiyo ni mia hamsini na tisa milioni faida kila mwezi ukiwekeza bilioni 4.

Lazima kibamia kirefuke 😂😂😂😂😂.
 
Mie ntakuwa kuwadi wako,nikatie pochi nene tuu nakuletea wanyamwezi chotara wa kiarabu, utafurahi na roho yako.
Aisee itakuwa poa watoto wenye rangi ya mtume....ila uwe makini nisije siku nikataka unipikie nsansa ya karanga na ugali au viazi vitamu na baada ya hapo nikataka kumla mpishi mwenyewe
 
Wee hujasoma vizuri yale masefuri kule mbele? 😆😆😆
Hiyo ni mia hamsini na tisa milioni faida kila mwezi ukiwekeza bilioni 4.

Lazima kibamia kirefuke 😂😂😂😂😂.
Kha sii mchezo hiyo aisee mbona nitagegeda hao warembo wa kinyamwezi angani from tablra to dar nakodi air tz peke yangu na warembo
 
Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .

Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M

Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Kama ulivosema either ni akili ama ni Upumbavu,so wewe ni Mpumbavu
1. Sasa huyo anayeweka hela ndogo zitakuaje kubwa bila ya kuanza kua ndogo?
2.Huyo anayeweka milioni 20 U.T.T,aankula milioni 2 kwa mwaka atakua na milioni 40 plus kwa miaka 10,.....ila anayeuza chips anapata 5M kwa miaka 10,ni nadra kukuta muuza chips ana milioni 50😆😆
 
Kama ulivosema either ni akili ama ni Upumbavu,so wewe ni Mpumbavu
1. Sasa huyo anayeweka hela ndogo zitakuaje kubwa bila ya kuanza kua ndogo?
2.Huyo anayeweka milioni 20 U.T.T,aankula milioni 2 kwa mwaka atakua na milioni 40 plus kwa miaka 10,.....ila anayeuza chips anapata 5M kwa miaka 10,ni nadra kukuta muuza chips ana milioni 50😆😆
We ndio mpumbavu
 
Ukiona una save pesa bank, unaweka sijui fixed account , sijui UTT ni kipimo cha udogo wa akili zako na fikra mbovu ulizinazo, pesa inazungushwa muda wote bank ni njia ya kupitishia nazani sijawahi kuwa na milioni bank zaidi ya siku mbili ndio nikasave eti UTT, inamaana sioni kabisa sehemu ya kukuza pesa
 
Hata huna akili anayewezA pata milion Tano kwa mwaka , akiwa na akili atakuwa na pesa nyingi sana umezaliwa familia ya wafanyakazi ee ambao kufikiri huona shida
Kama ulivosema either ni akili ama ni Upumbavu,so wewe ni Mpumbavu
1. Sasa huyo anayeweka hela ndogo zitakuaje kubwa bila ya kuanza kua ndogo?
2.Huyo anayeweka milioni 20 U.T.T,aankula milioni 2 kwa mwaka atakua na milioni 40 plus kwa miaka 10,.....ila anayeuza chips anapata 5M kwa miaka 10,ni nadra kukuta muuza chips ana milioni 50😆😆
 
Aisee itakuwa poa watoto wenye rangi ya mtume....ila uwe makini nisije siku nikataka unipikie nsansa ya karanga na ugali au viazi vitamu na baada ya hapo nikataka kumla mpishi mwenyewe

Tatizo ni, utahimili mzigo mzitoo??😆😆😆😆🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.

Chapa Tabora si lelemama...😅😅😅.
 
Kha sii mchezo hiyo aisee mbona nitagegeda hao warembo wa kinyamwezi angani from tablra to dar nakodi air tz peke yangu na warembo

Ahahahahaa ukishamiliki hizo hela inabidi uwe mchumi, ama laah watakufilisi 😅.
 
Ahahahahaa ukishamiliki hizo hela inabidi uwe mchumi, ama laah watakufilisi 😅.
Sass hapo unafilisika vipi tena wakati wee unacheza nanfaida tuu principal ipo pale pale.
 
Back
Top Bottom