Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
High risk high return
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vitu vingine wanavyofanya kukuza mtaji badala ya UTT isije kuwa ndiyo chips hizo hizo, halafu faida anaipeleka UTTKaweke hilo banda la chipsi halafu usiwe na muda wa kulisimamia uone kitakachotokea.Wanaoweka UTT wanavitu vingine wanafanya vinavyoingiza hela,huko UTt ni kukuza mtaji.
Mie sikusoma hiyo connection naitoa wapi mkuu?Aisee mkuu hapa unaweza kuwa na connection ? 😏
Mimi Niko kilimani,kilamanjaroNipo kinole. Wee upo wapi?
Katika biashara ngumu ya chips nayo ipo.Kwa hiyo unataka tufungue mabanda ya chipsi???
Ugumu wake uko wapi?Katika biashara ngumu ya chips nayo ipo.
Kauze chips MWENYEWE ,sio watu wote wanaweza choma chips na kuuza mama nitilie au mkaaMtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Yes,ukiwa uanzo biashara zinafanya vizuri na unaweza kuzisimamia hizo shughuli/biashara,then kupeleka Fedha UTT ni UJUHAHivyo vitu vingine wanavyofanya kukuza mtaji badala ya UTT isije kuwa ndiyo chips hizo hizo, halafu faida anaipeleka UTT
Ngoja nikuulize hivi umeweka labda 10M kama ulivyosema baada ya muda Fulani kupita na unataka kutoa si unauwezo wa kutoa principal ( 10M) na faida zake au unatoa faida pekee?Mtu anapeleka milioni 10, eti gawio kwa mwaka laki 5..
Hizi si dharau?
Low risk low profitMtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Fredwash Naomba nikuulize hivi labda umeweka 5M UTT kwa muda wa Miaka 10 na unataka kutoa pesa zako je unaweza kutoa principal ( ile pesa uliyoweka) pamoja na faida au unatoa faida pekee?.. inaonekana hujui value ya pesa ni nini.. value ya pesa inapimwa kwa mda uliotumia kuipata.. mwajiri wako nje ya ujuzi wako anakulipa kwa mda unaomtumikia sio ujuzi.. ndio maana anakwambia mda wa kuingia na kutoka..
Huyo muuza chips hiyo 5m anaipata kwa kuanza kazi saa nne asubuh pengine hadi saa 4 au had saa 8 za usiku .. akilala siku moja aidha afidie au haipati hiyo 5m na naamini ukimuhoji atakwambia anakosa mda wa kufanya mambo mengine , ya kimaendeleo na kijamii hana
Huyu mwenye 20m unaona hana akili kwa kupata 2m kwa mwaka kwa mwaka UTT wakat umesahau hiyo 2m imemfanya akapata uhuru wa masaa kadhaa kuweza kufanya jambo lingine la kumuingizia kipato.. au imempa flexibility ya budget yake.. muuza
Chips kama kapata 5m mwaka huu hana uhakika wa 5m mwakan..
Uktaka kujua umefanikiwa vip kimaisha usiangalie unaingiza kias gan ila angalia una uhuru wa mda kias gani.. kama unatumia masaa zaid ya 8-12 kila siku kuingiza kipato chako basi hujafanikiwa sababu huna uhuru wa mda maana huna uwezo wa kufanya jambo lolote unalolitaka kwa wakati unaoutaka wewe na mahali unaoopataka.
Extrovert je kama unataka kutoendelea na kuwekeza uko unauwezo wa kutoa principal ( ile hela ulioiweka) na faida kwa pamoja au unatoa profit only?Million 100 inabaki pale pale, wewe unakuwa unapewa zile 11M kila mwaka. Hapo utalipa ada za watoto bila stress
Principal sidhani kama utaruhusiwa kutoa ila kuna option ya kuitumia ile bond kama dhamana ukakopa ile principal amount kwenye banks. Wao wakawa wanakula sehemu ya rejesho lako kila mwaka hadi hela yao itakapotimia.Extrovert je kama unataka kutoendelea na kuwekeza uko unauwezo wa kutoa principal ( ile hela ulioiweka) na faida kwa pamoja au unatoa profit only?
Kama ni hivyo hapo pagumu sana ili uone faida inabidi uweke mzigo mkubwaPrincipal sidhani kama utaruhusiwa kutoa ila kuna option ya kuitumia ile bond kama dhamana ukakopa ile principal amount kwenye banks. Wao wakawa wanakula sehemu ya rejesho lako kila mwaka hadi hela yao itakapotimia.
Wanapoteza muda na ndio maana hubakia maskiniLow risk low profit
High risk high profit.
Mfano wafanyakazi wengi sababu muda wote wapo maofisini wao watatumia ile ya kwanza.
Eeh hela za kifisadi kuweka kwenye hati fungani huwa ni easy tu.😂Mmoja kafanya kazi mwenyewe mmoja katanyiwa kazi.
Wengi wanaoweka kwenye mahisa pesa zao za ufisadi na madili
Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi