Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anayewekeza 20M kwa UTT ana akili ndefu kuliko wewe Mgosi mmiliki wa kijiwe cha chips cha laki saba. Huyo mtu ameishavuka level hiyo uliyopo, kula yako mpaka ukate kachumbari na sotojo. Huyu mtu ana shughuli nyingine zilizotengeneza hiyo 20M in fact hela inamsumbua kichwa kaamua aitupe sehemu ikae tu akiwa anaweka mipango yake sawa.Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Ndio manake. Kavunje kile kibubu chako ukikuta tshs billion moja fasta wekeza kwenye hati fungate za serikali.Aisee kumbe ukipata billion bongo wee nikula mbussus mpaka unadata.
So rougly kila mwezi wee una mil 15 zakutumia.
Acha dharau 🤣Oya huu mwaka umeisha sijashika milion mbili papo kwa papo afu we unailetea dharauKule inatakiwa uweke pesa ndefu ambayo huoni pa kuipeleka..
Kupelekea vi milioni 2 vyako ulivyosave kwa mwaka is meaningless.
Demand vs supply. Mtu akiambiwa kibanda cha chips kinalipa anakurupuka kuanzisha chake. Failure inaweza kuwa ni sababu moja kati ya nyingi. eg location mbaya, mapishi mabaya, usimamizi mbaya etc..Kwa hiyo watu hawali chips kwa kuwa baadhi ya vibanda vimefungwa aidha kwa mtu kuhamia kwenye shughuli nyingine.
Dharau dharau 🤣Mkuu upo sahihi mkuuMtu anayewekeza 20M kwa UTT ana akili ndefu kuliko wewe Mgosi mmiliki wa kijiwe cha chips cha laki saba. Huyo mtu ameishavuka level hiyo uliyopo, kula yako mpaka ukate kachumbari na sotojo. Huyu mtu ana shughuli nyingine zilizotengeneza hiyo 20M in fact hela inamsumbua kichwa kaamua aitupe sehemu ikae tu akiwa anaweka mipango yake sawa.
Wewe uza chips mwaka uishe uonyeshe mali zako naye aonyeshe zake uone nani mjanja na nani lofa.
Hii akili...vipi mil234 wanachukua?Ndio manake. Kavunje kile kibubu chako ukikuta tshs billion moja fasta wekeza kwenye hati fungate za serikali.
Laki saba hapohapo analipa kodi ya pango anapoishi, na hapo anapofanyia biashara, na bado anajifananisha jamaa alietupia 20M utt na anaishi bila kuitegemea.Mtu anayewekeza 20M kwa UTT ana akili ndefu kuliko wewe Mgosi mmiliki wa kijiwe cha chips cha laki saba. Huyo mtu ameishavuka level hiyo uliyopo, kula yako mpaka ukate kachumbari na sotojo. Huyu mtu ana shughuli nyingine zilizotengeneza hiyo 20M in fact hela inamsumbua kichwa kaamua aitupe sehemu ikae tu akiwa anaweka mipango yake sawa.
Wewe uza chips mwaka uishe uonyeshe mali zako naye aonyeshe zake uone nani mjanja na nani lofa.
Absurd indeed.Unachoshindwa kuelewa ni kwamba Risk Apettite ya kila mtu ni tofauti.
Duniani kote safer investments zina returns ndg, ila riskier zina return kubwa.
Mfananisho wako na banda la chips ni absurd
Jamaa mkurupukaji yani kisa anakata nyanya basi anaona wanaotunza hela wajinga sana. Vijana masikini huwa tunajipa matumaini hewaLaki saba hapohapo analipa kodi ya pango anapoishi, na hapo anapofanyia biashara, na bado anajifananisha jamaa alietupia 20M utt na anaishi bila kuitegemea.