Hivi ni akili , uoga au upumbavu kuhusu UTT ?

Hivi ni akili , uoga au upumbavu kuhusu UTT ?

Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .

Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M

Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Kaweke hilo banda la chipsi halafu usiwe na muda wa kulisimamia uone kitakachotokea.Wanaoweka UTT wanavitu vingine wanafanya vinavyoingiza hela,huko UTt ni kukuza mtaji.
 
UTT ni kwa ajili ya wastaafu. Ukishapata burungutu unarusha kule milion mia... unaendelea kusosomola kidogo kidogo hadi ufwe na kuacha urithi
Ukiweka hiyo milioni mia leo na ukawa unasosomola tuseme kale kafaida kake baada ya miaka kumi hiyo milioni mia itakuwa imebaki kiasi gani? Mambo ya FV = PV × (1 + r)^n hayo.
 
Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .

Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M

Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
.. inaonekana hujui value ya pesa ni nini.. value ya pesa inapimwa kwa mda uliotumia kuipata.. mwajiri wako nje ya ujuzi wako anakulipa kwa mda unaomtumikia sio ujuzi.. ndio maana anakwambia mda wa kuingia na kutoka..

Huyo muuza chips hiyo 5m anaipata kwa kuanza kazi saa nne asubuh pengine hadi saa 4 au had saa 8 za usiku .. akilala siku moja aidha afidie au haipati hiyo 5m na naamini ukimuhoji atakwambia anakosa mda wa kufanya mambo mengine , ya kimaendeleo na kijamii hana

Huyu mwenye 20m unaona hana akili kwa kupata 2m kwa mwaka kwa mwaka UTT wakat umesahau hiyo 2m imemfanya akapata uhuru wa masaa kadhaa kuweza kufanya jambo lingine la kumuingizia kipato.. au imempa flexibility ya budget yake.. muuza
Chips kama kapata 5m mwaka huu hana uhakika wa 5m mwakan..

Uktaka kujua umefanikiwa vip kimaisha usiangalie unaingiza kias gan ila angalia una uhuru wa mda kias gani.. kama unatumia masaa zaid ya 8-12 kila siku kuingiza kipato chako basi hujafanikiwa sababu huna uhuru wa mda maana huna uwezo wa kufanya jambo lolote unalolitaka kwa wakati unaoutaka wewe na mahali unaoopataka.
 
.. inaonekana hujui value ya pesa ni nini.. value ya pesa inapimwa kwa mda uliotumia kuipata.. mwajiri wako nje ya ujuzi wako anakulipa kwa mda unaomtumikia sio ujuzi.. ndio maana anakwambia mda wa kuingia na kutoka..

Huyo muuza chips hiyo 5m anaipata kwa kuanza kazi saa nne asubuh pengine hadi saa 4 au had saa 8 za usiku .. akilala siku moja aidha afidie au haipati hiyo 5m na naamini ukimuhoji atakwambia anakosa mda wa kufanya mambo mengine , ya kimaendeleo na kijamii hana

Huyu mwenye 20m unaona hana akili kwa kupata 2m kwa mwaka kwa mwaka UTT wakat umesahau hiyo 2m imemfanya akapata uhuru wa masaa kadhaa kuweza kufanya jambo lingine la kumuingizia kipato.. au imempa flexibility ya budget yake.. muuza
Chips kama kapata 5m mwaka huu hana uhakika wa 5m mwakan..

Uktaka kujua umefanikiwa vip kimaisha usiangalie unaingiza kias gan ila angalia una uhuru wa mda kias gani.. kama unatumia masaa zaid ya 8-12 kila siku kuingiza kipato chako basi hujafanikiwa sababu huna uhuru wa mda maana huna uwezo wa kufanya jambo lolote unalolitaka kwa wakati unaoutaka wewe na mahali unaoopataka.
Hujui chochote kuhusu biashara
 
Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .

Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M

Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Kuna mmoja alinambia wewe unatumia jamii forum ni kwa ajili ya wazee🤣Kwan unataka kuwa mwandishi wa habari!

Sioni tofauti yake nawewe. Wewe una projection bias,njia za utafutaji maisha ziko wewe ni mvivu tu wa kufikiri matajiri wengi wanacheza na hisa, stock, debentures, mwisho wa mwezi ni kula ma-divinded tu hatuangalii ROI(return on investment) tu peke ake
Ukiweka hiyo milioni mia leo na ukawa unasosomola tuseme kale kafaida kake baada ya miaka kumi hiyo milioni mia itakuwa imebaki kiasi gani? Mambo ya FV = PV × (1 + r)^n hayo.
Tuangalie kwanza Do=(1+g) ^n itakuwa ngap afu tuje mwishoni tupige (Dn+1/ke-g2)x(PVIFi, n) single sum)
 
Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .

Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M

Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Sio kila mtu anaweza kufanya biashara na wala sio kila mtu ni mfanyabiashara. Hivyo kuna mtu hawezi kufanya biashara na wala hana muda wa kuhangaika biashara anaamua kuweka pesa huko badala ya kuiweka tu bank ambapo kuna makato.
Na kuna mtu ana plan labda baada ya muda fulani anataka afanye jambo fulani, so anaamua kuanza save fedha kwa kuiweka huko.
 
Wekeza tshs billion 1 kwenye hati fungate za serikali upate tshs 159,400,000 kwa mwaka tax free na husle free.
Hii imekaa njema. Hizi UTT bonds na BOT Bonds zinawafaa mabillionaire ambao hawataki kuhangaika zaidi na mabiashara. Aidha walioko kwenye age za utu uzima. Ila kwa vijana wenye nguvu za kukimbizana na hela ndogo inakuwa haina tija.

Mtu mwenye billion 1 anauwezo wa ku earn 120 million plus kila mwaka. It makes alot of sense. Hio fedha hussle free inalipa ada na kukuendeshea maisha mwaka mzima kama hutafanya anasa.
 
Wabongo bwana. Mtu anaandika kinachomjia kichwani tu. Hivyo vibanda vya chips vyenye hiyo return viko vingapi wakati kila siku watu wanafungua vibanda na vinakufa. Halafu hiyo know how na muda na mazagazaga yote ya kuendesha kibanda cha chips ni kila mtu anaweza? Malengo na hali za watafutaji ni tofauti ndiyo maana kila mtu anachagua eneo analoona ni rahisi kwake.
Hahaha IPHONE hizo, nchi hii kila mtu ni financial guru, we soma comments kisha tambaa. Bongo Darisalama, hakuna mjinga wote tunajua kila kitu. Mijadala mikubwa muwe mnashuka na huku chini kwa wauza juice za miwa mnatushauri.
 
Back
Top Bottom