Hivi ni Demokrasia gani inayopiganiwa na vyama vya Upinzani? Sioni Chama cha kukipa Nchi

Unafuatilia uchaguzi wa Kenya?
Kuna chama hata chenye miaka mi 5 pale?
Kwa hiyo wakenya wakipiga kura ili mradi wasubir ukomavu wa kisiasa?
Miaka 60 chini ya ccm . Watu wanakunywa maji ya matope huko kusini?
Bwana kihongosi acha kujitoa nguoo
 
Wanataka wafanye kama NCCR ?
WAPUUZI? WAKAFANYE KWA MREMA NA LIPUMBA KWANZA
 
Na kwa vile Nyerere alitawala nchi kwa miaka 24 na hakulalamikiwa, basi leo haina shida mtu akitawala miaka 24!!?

Uzuri wa chama unaweza kuhama kama hukubaliani na utaratibu, ama unaanzisha chama chako kabisa ili kifuate unavyotaka.
 

Kuna haja gani ya chama kuwa na misingi, lakini kinategemea wizi wa kura kukaa madarakani kwa shuruti? Huu ujinga kuwa kuwa eti CCM kinaendeshwa kitaasisi mmekaririshana, basi mnamwambia kila mtu mkidhani kila mmoja anaelewa hizo hisia zenu.
 
Kuna haja gani ya chama kuwa na misingi, lakini kinategemea wizi wa kura kukaa madarakani kwa shuruti? Huu ujinga kuwa kuwa eti CCM kinaendeshwa kitaasisi mmekaririshana, basi mnamwambia kila mtu mkidhani kila mmoja anaelewa hizo hisia zenu.
Mkuu ujue kuna viongozi wa Vyama wamefanya hivyo vyama kama vyao na familia zao tofauti na CCM
 
Mkuu ujue kuna viongozi wa Vyama wamefanya hivyo vyama kama vyao na familia zao tofauti na CCM

Umeambiwa Nyerere alitawala TANU na Ccm kwa miaka zaidi ya 30 akiwa mwenyekiti, je hivyo vyama vilikuwa vya familia yake na nani?
 
Umeambiwa Nyerere alitawala TANU na Ccm kwa miaka zaidi ya 30 akiwa mwenyekiti, je hivyo vyama vilikuwa vya familia yake na nani?
Hiyo ilikuwa kabla ya Vyama vingi ambapo tunahubiri Demokrasia
 
Hiyo ilikuwa kabla ya Vyama vingi ambapo tunahubiri Demokrasia

Kama ingekuwa kweli mnaheshimu vyama vingi leo hii CCM haikupaswa kuendelea kukaa madarakani kwa wizi wa kura. Au demokrasia ya vyama vingi ni wenyeviti wa vyama vya upinzani kutoka mapema tu madarakani?
 
Kama ingekuwa kweli mnaheshimu vyama vingi leo hii CCM haikupaswa kuendelea kukaa madarakani kwa wizi wa kura. Au demokrasia ya vyama vingi ni wenyeviti wa vyama vya upinzani kutoka mapema tu madarakani?
Huwezi kuwapa watu Nchi ambao hawana uwezo wa kuongoza nchi hata kama wameshinda
 
@Zitto alipomjaribu MBOWE bila mafanikio, basi yeye akaamua kujiita Kiongozi Mkuu asiyehojika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…