Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wakuu kama inavyojulikana kwa kawaida simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia (akiwemo baba) kuitumia kwa uhuru kabisa maana vyote (vikiwemo hiyo simu na huyo mke mwenyewe) hivyo ni mali ya baba.
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu😳?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu😳?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah