Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #41
kama we ni ke iyo ni sawasawa kabisa, ivyo ndio inavyotakiwaNna miaka sita sijabadilisha password hata nikibadilisha simu naweka ileile anayoijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama we ni ke iyo ni sawasawa kabisa, ivyo ndio inavyotakiwaNna miaka sita sijabadilisha password hata nikibadilisha simu naweka ileile anayoijua
Wewe umempa password ya simu yako?Wakuu kama inavyojulikana kwa kawaida simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia Wewe(akiwemo baba) kuitumia kwa uhuru kabisa maana vyote (vikiwemo hiyo simu na huyo mke mwenyewe) hivyo ni mali ya baba.
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu😳?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah
Jaman kuanzia sasa napokea mapendekezo ya eneo la kuweka sanamu ya mkuu Labella kula gwala aisee 🤛👊Si achukue simu yake, amtandike atoe password.!
Hao wanawake mbona mnaishi nao kwa kuwaogopa wakati nyie ndo mmewatolea mahari eboo 😡
Simu ya mwanamke haitakiwi kuwa na password, ya kwako mwanaume pekee ndo iwe na password… km hataki arudi kwao ajioe mwenyewe..!! 😹
mkuu mbona unaleta uanaharakati kwenye mambo ya msingi? unajua sensitivity ya simu ya baba?Wewe umempa password ya simu yako?
👏🏻😅Simu ya mkeo achana nayo brooo!!!
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻Kwani zile ujumbe kutoka TCRA na polisi wanazosema usimpe namba ya siri mtu yoyote unafikiri walimaanisha nini
Itakiwa kirusi kinaanza kupanda kichwani....siku zangunduniani zinahesabika kiganjani🤯kugegedwa na nani tena zaidi ya mie nnaemliki?
wew mzabzab unazeeka vibaya, tukutane kwenye kamati ya maadili
Umefurahiii mwenyewe.
Alooh! Umeongea bonge la point. Sawa tutagangamala nao wake zetu wasituletee ujinga ndani ya nyumbaSi achukue simu yake, amtandike atoe password.!
Hao wanawake mbona mnaishi nao kwa kuwaogopa wakati nyie ndo mmewatolea mahari eboo 😡
Simu ya mwanamke haitakiwi kuwa na password, ya kwako mwanaume pekee ndo iwe na password… km hataki arudi kwao ajioe mwenyewe..!! 😹
Sawa lakini iwe stated afahamu tangu mnakubaliana kuoanahili nshafafanua mkuu kinagaubaga apo juu ni hivi mke analipiwa dau kabla ya kungana na mumewe, kwaiyo yeye na vyote anavyovimiliki ni vya uyo mtoa dau.
Ndio kila mtu atumie kifaa chake 😜Umefurahiii mwenyewe.
Ila simu ya mke achana nayo na mke achana na simu ya mume
Na akilalamika una kibamia mpige akueleze tango aliliona wapi? 😡😹Alooh! Umeongea bonge la point. Sawa tutagangamala nao wake zetu wasituletee ujinga ndani ya nyumba
ndio kwani hujui? inategemeana na makubaliano yenukila familia inautaratibu wake? daah haya bana
hawa usipokagua simu utashangaa siku moja anaosha vyombo nyumba ya apo jiranUmefurahiii mwenyewe.
Ila simu ya mke achana nayo na mke achana na simu ya mume
Joannah ana kesi yakujibu hapa kwa nini asemw nina kibamiaNa akilalamika una kibamia mpige akueleze tango aliliona wapi? 😡😹
Unaoshaje vyombo mwanawanehawa usipokagua simu utashangaa siku moja anaosha vyombo nyumba ya apo jiran
mambo yamekuwa mengiNa akilalamika una kibamia mpige akueleze tango aliliona wapi? 😡😹
Hata ikiwa na password shart mume aijueSi achukue simu yake, amtandike atoe password.!
Hao wanawake mbona mnaishi nao kwa kuwaogopa wakati nyie ndo mmewatolea mahari eboo 😡
Simu ya mwanamke haitakiwi kuwa na password, ya kwako mwanaume pekee ndo iwe na password… km hataki arudi kwao ajioe mwenyewe..!! 😹