Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa mkuu, password hakikisha unaweka jina lako ili atambue yupo chini yako na wewe ndo mmiliki wa kila kitu humo ndani ikiwemo na yeye ๐นHata ikiwa na password shart mume aijue
Unaenda wapi shemeji wee tulia hapa usikie visingizio vya ndugu yako.๐น๐น๐น๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
wAtu kama wewe mmebaki wachache sana mkuuHili limekuwa likinishangaza hadi naonekana sipo timamu. Mtu mwenye access namwili wako ukiwa mtupu. Mtu anayekupikia, mtu unayelala naye na macho unayafumba yote, mtu ambaye ana password ya card yako ya bank, huyo ndiye hatakiwi kuwa na password ya simu?
Hapana, mimi maisha hayo hapana. Mimi siyo gaidi kwamba napanga hujuma wala siyo mtu wa usalama kwamba kuna taarifa nazilinda
Kwa sisi malegend hatukagui hovyo, kila mara inaboa.sawa, na tuseme mpo vizuri hamchepuki
lakini huo ukaguzi wa ovyo ovyo si unaboa? sio dalili ya uoga kweli?
Shem mbona unataka dada anichape nianze mwaka vibaya ๐Anapenda video za warumi eeh
Hata kama kanunua mumeSimu alinunua nani? Tuanzie hapo kwanza.!!
Wewe jeuri unatakiwa upigwe akili ikukae sawa uwe na adabu ๐น๐นHata kama kanunua mume
Simu yangu ni ya kwangu,hakuna pimbi yoyote anaweza kunieleza azawaizi
Braza Kede simu yangu haiwezi kuwa mali ya kila mwanafamilia mkuu
Kiufupi hakuna mtu kwenye hii dunia anayejua password ya simu yangu
Wewe jeuri unatakiwa upigwe akili ikukae sawa uwe na adabu ๐น๐น
Kwann uweke password shem asijue, unaficha nini?? ๐คฃ
Wanaume wenzangu , Simu ya baba ndiyo simu ya familia wanawake hawanaga simu.Wakuu kama inavyojulikana kwa kawaida simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia (akiwemo baba) kuitumia kwa uhuru kabisa maana vyote (vikiwemo hiyo simu na huyo mke mwenyewe) hivyo ni mali ya baba.
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu๐ณ?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah
Kweli huyu mkaidi...azabuliwe vibaoWewe jeuri unatakiwa upigwe akili ikukae sawa uwe na adabu ๐น๐น
Kwann uweke password shem asijue, unaficha nini?? ๐คฃ
unaongelea simu ipi maana mbaba shababi huwa ana simu mbili hiyo moja ni kitochi inabaki kwenye gari muda wote hiyo marufuku kutoka ndani ya gari - hii ina kazi maalum nitaielezea kwa kina siku ingine.Wanaume wenzangu , Simu ya baba ndiyo simu ya familia wanawake hawanaga simu.