Ngoja nikarekebishe zipu🤣🤣🤣🤣🤣Heee kwani mi ndio nimetangaza?we si zipu yako mbovu kila mtu unamuonyesha kibamia sasa kuna siri hapo tena?
Lakini sii unaenjoy kibamiaz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikarekebishe zipu🤣🤣🤣🤣🤣Heee kwani mi ndio nimetangaza?we si zipu yako mbovu kila mtu unamuonyesha kibamia sasa kuna siri hapo tena?
We hutaki dawa ya kurefusha?nimeona tangazo gazetini ostadhi j4 anarefusha vibamiaNgoja nikarekebishe zipu
Lakini sii unaenjoy kibamiaz
saivi haisaidii maana wakati wew unarefusha mjegeje wenzio wanajipimia matango kuongeza upana na urefu😝We hutaki dawa ya kurefusha?
☝️☝️☝️true na hili ndo la msingiTalking from experience
Wapi huko niende kurefusha kibamia changuWe hutaki dawa ya kurefusha?nimeona tangazo gazetini ostadhi j4 anarefusha vibamia
Mpigie 0123 456789Wapi huko niende kurefusha kibamia changu
mkuu nawew wakemee japo kidogo basiPoleni sana...
Cc: Mahondaw
Duuuh kweli huwezi shindana na tangosaivi haisaidii maana wakati wew unarefusha mjegeje wenzio wanajipimia matango kuongeza upana na urefu😝
tango kama tangoDuuuh kweli huwezi shindana na tango
kaka hakikisha unajua password kama umeoa tena kama hataki mwambie siku zake zinahesabika.kiongozi naelekea weye bado mbarubaru hujaoa
waliooana ni mwili mmoja
Huyu ni mimi kabisa , mimi mpka namba za mpesa, airtel money na tigopesa tunatumia moja. Yaani nyeupe nyeupe tu.Nna miaka sita sijabadilisha password hata nikibadilisha simu naweka ileile anayoijua
Mimi pia najua ya kwake
Ni wapi iliposemwa kuwa simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia kuitumia kwa uhuru kabisa? Kwa nini jambo unalotaka wewe liwe hivyo unataka kulifanya kuwa ndivyo lilivyo kwa kila mtu? Kuna kitu kinaitwa privacy katika maisha ya ndoa, kuna vitu huchukui au kutizama bila idhini ya mwenza wako ikiwemo simu hata kama umemnunulia wewe.Wakuu kama inavyojulikana kwa kawaida simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia (akiwemo baba) kuitumia kwa uhuru kabisa maana vyote (vikiwemo hiyo simu na huyo mke mwenyewe) hivyo ni mali ya baba.
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu😳?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah
Hata kama haikusajiliwa kwa jina lake as long as umempa kwa matumizi yake basi ni haki yake na anachokihifadhi katika simu ni faragha yake na ana uamuzi wa mwisho nani atizame na nani asitizame simu yake. Na hata ukiamua kumpokonya simu basi ni haki yake kufuta kila kilicho chake katika simu kabla ya kukurudishia simu yako.Kama line imesajiriwa kwa jina lake Yes ana haki ya faragha 100% ni simu yake na password ni mali yake
Bado hujaolewa.Hata kama kanunua mume
Simu yangu ni ya kwangu,hakuna pimbi yoyote anaweza kunieleza azawaizi
Braza Kede simu yangu haiwezi kuwa mali ya kila mwanafamilia mkuu
Kiufupi hakuna mtu kwenye hii dunia anayejua password ya simu yangu