Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
Imajini yani hlf eti ndo sweety waifu babyKwanini mtu afiche (password) simu yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imajini yani hlf eti ndo sweety waifu babyKwanini mtu afiche (password) simu yake?
kwan unajuaje kama hachezagi mchangani?Wee jamaa sasa jamani mbona mnamuone financial services yeye bado hajawa mke wee unamuuliza maswali ya ndoa kweli
upo sahihi kiasi flan ila simu ya baba itoe apoUsikimbilie kivuli chako,simu zote ni za wanafamilia
Utaratibu wa familia yako ukoje? maana kila familia inautaratibu wake kulingana na namna mlivyoanzaWakuu kama inavyojulikana kwa kawaida simu ya mke ndiyo simu rasmi kwa kila mwanafamilia (akiwemo baba) kuitumia kwa uhuru kabisa maana vyote (vikiwemo hiyo simu na huyo mke mwenyewe) hivyo ni mali ya baba.
Sasa kama mke/mama hataki kutoa password ya simu imekaaje hiyo?
Kuna ustawi wa familia kweli hapo?
eti wakuu😳?
Mi nimekwazika kwa kweli
Labella
Mahondaw
financial services
Joanah
kutafuta nn tena?😳Omba tu au tuseme mshukuru Mungu akatalie password hivyo hivyo vinginevyo unayatafuta
Hili limekuwa likinishangaza hadi naonekana sipo timamu. Mtu mwenye access namwili wako ukiwa mtupu. Mtu anayekupikia, mtu unayelala naye na macho unayafumba yote, mtu ambaye ana password ya card yako ya bank, huyo ndiye hatakiwi kuwa na password ya simu?Hivi inakuwaje mpaka watu mnakuwa hamna uhuru katika simu za wenzi wenu? Kwanini mtu afiche (password) simu yake?
Mimi mtu mwenye mashaka, asiyekuwa na uhuru wa kuacha simu na mambo kama hayo ni red flag kuu na hakutokuwa na future hapo.
sawa, na tuseme mpo vizuri hamchepukiHivi inakuwaje mpaka watu mnakuwa hamna uhuru katika simu za wenzi wenu? Kwanini mtu afiche (password) simu yake?
Mimi mtu mwenye mashaka, asiyekuwa na uhuru wa kuacha simu na mambo kama hayo ni red flag kuu na hakutokuwa na future hapo.
Hachezo bwana she is a young demure ladykwan unajuaje kama hachezagi mchangani?
Kuna haja gani ya kuoa sasa kama hakuna mke asiegawa nje?Mie nakuepusha na sonono mzeya. Hamna mke hagegedwi brooo!!!
Utakayayakuta kwa simu utaweza kuya handle?
Ndio maana mie nipo upande wa kataa ndoaKuna haja gani ya kuoa sasa kama hakuna mke anaegawa nje?
Umfuge wa nini sasa?
Alinunua mmeSimu alinunua nani? Tuanzie hapo kwanza.!!
H,ujaelewa, wanazungumzia miàmala ya pesa!Kwani zile ujumbe kutoka TCRA na polisi wanazosema usimpe namba ya siri mtu yoyote unafikiri walimaanisha nini
kila familia inautaratibu wake? daah haya banakila familia inautaratibu wake
iko hivi mume yuko responsible na yote yanayoihusu familia inabd ayajue ikiwemo matendo ya mkewe. hujawahi kusikia mke kachukua mkopo usiolipika hlf benki inakuja kupiga nyumba mnada wkt baba hana habari?Kama line imesajiriwa kwa jina lake Yes ana haki ya faragha 100% ni simu yake na password ni mali yake
Si achukue simu yake, amtandike atoe password.!Alinunua mme