Cheka sasa'mashairi ya cheka cheka'
Wewe utakuwa hujawahi kuielewa kifaa mdogo wangu..!! [emoji23] [emoji23]
Sasa hapa mdogo wangu si itabidi tufunge na kuomba siku 40 ila huu muujiza utendeke?Kusema ule ukweli toka ndani ya mtima kuna kifaa hua nakielewa humu ndani dada anguππ Ila hyo ya kukifata PM hahahaa, ndo sijawahi waza.
Hua namuombea tu kimoyomoyo siku akanyage mdudu ajikute piemuni mwanguππ
Sijawahi tongozwa mkuu.!!
Hahaa.!!
you're absolutely right.! Mimi huwa navutiwa sana na mwanaume anayeringa walaqhi'..!
Kweli kabisa na naomba tuungane kwenye hili sis, naamin mambo yatajipa tu.Sasa hapa mdogo wangu si itabidi tufunge na kuomba siku 40 ila huu muujiza utendeke?
Kusema ule ukweli toka ndani ya mtima kuna kifaa hua nakielewa humu ndani dada angu[emoji23][emoji23] Ila hyo ya kukifata PM hahahaa, ndo sijawahi waza.
Hua namuombea tu kimoyomoyo siku akanyage mdudu ajikute piemuni mwangu[emoji23][emoji23]
Haha.!
Kwani katiba yenu ya chama inasemaje mkuu.??
Kweli kabisa na naomba tuungane kwenye hili sis, naamin mambo yatajipa tu.
πππ kweli nmeamini uzi umeanza kua mzuri
Haha.!
Aibu nimeona Mimi sijui kwanini..!
Enwei, mfungo mwema mdogo wangu, natumaini utaupa likizo ule mzigo wetu mwezi huu mtukufu.!
Haha..!.Hakuna sekta wadada mnavimba kama haka kasekta ka kutongozwa huwa mnamaliza hasira za kutendwa zote[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli nmeamini uzi umeanza kua mzuri
Ila hilo nalo ni la muhimu sana et, tunabalance maombi. Mwisho wa siku yote yatajibiwa kwa imaniMwezi mtukufu huu mjue nyie mabinti. Tuombee mambo ya muhimu kwanza. Hayo mengine yapo tu, jambo la muda tu.