πππππ majibu yangu ya ndiyo hapana.. short and clear .. yalimchosha mtu yeye alikuwa anataka akiuliza swali nijielezee..khaaa!!..akanichunia mazima hadi jukwaani akanilia buyu π€£π€£π€£π€£
Wangejua ulivyo mrembo wangejutia hilo vumbi [emoji23][emoji23][emoji23]Hi guys,
Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile huja kupotea ndo wanashangaza na jukwaani unawaona unaishia tu kucheka hiiii'...!!
Huyu wa kwanza alikuja mbwembwe kibao, akauliza umri nikajibu 41, hajawahi kurudi na hata hiyo PM hakujibu, akajionea tu hii kikongwe nimetokana nayo wapi? akatoka ndukii akaniachia mpaka vumbi walaqhi'..!!
Huyu mwingine naye kaja na mbwembwe kama ngombea wa uenyekiti wa Vicoba, akataka kujua nipo wapi, nikamtajia kijiji ambacho hakipo hata kwenye ramani ya Tanzania, akajibu tu 'I thought upo dar nikutafute, nice day', akanipotezea mazima, nikaona ile namna wa mikoani hutengwa waziwazi, hahaa.!!
Huyu mwingine naye eti akaniongelesha busara siku mbili tatu,story za hapa na pale, baadaye akataka kujua nafanya kazi gani, nikamjibu mkulima, I swear mpaka Leo akanipotezea na ile PM hakujibu na huku jukwaani tunakutana zetu kiroho safi,
Hivyo kila nikionaga ID ya miminimkulimaakachekasana naishiaga tu kucheka, huwa natamani iwe 'miminimkulimaetiakanichunia'..!
Hivii huwa mnakutana nahizi sarakasi ama hizi ni kwa ajili yetu tu sisi wabarikiwa?
#nohardfeelings# tupunguze tu stress za corona,
Stay safe guys..!!
Itakua kilimuuma sana, hadi kukuwekea bifu hahaaπππ majibu yangu ya ndiyo hapana.. short and clear .. yalimchosha mtu yeye alikuwa anataka akiuliza swali nijielezee..khaaa!!..akanichunia mazima hadi jukwaani akanilia buyu π€£π€£π€£π€£
Haahahaaa yeah hasa kama ulivutiwa na show inatia moyo kidogo [emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23] majibu yangu ya ndiyo hapana.. short and clear .. yalimchosha mtu yeye alikuwa anataka akiuliza swali nijielezee..khaaa!!..akanichunia mazima hadi jukwaani akanilia buyu π€£π€£π€£π€£
Anaweza Kanyaga mwiba na kuishia kusonya [emoji3][emoji3]Kusema ule ukweli toka ndani ya mtima kuna kifaa hua nakielewa humu ndani dada angu[emoji23][emoji23] Ila hyo ya kukifata PM hahahaa, ndo sijawahi waza.
Hua namuombea tu kimoyomoyo siku akanyage mdudu ajikute piemuni mwangu[emoji23][emoji23]
Kuna nn
Hahaa.!!Wangejua ulivyo mrembo wangejutia hilo vumbi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya kuvimba inafka stage nakuwa sikupend tenaHaha..!.
Mwanangu lazima uvimbe, halafu ukute kifaa imekuelewa?? Mbona atauza dunia kwa ajili yako.!
Ila hilo nalo ni la muhimu sana et, tunabalance maombi. Mwisho wa siku yote yatajibiwa kwa imani
Naogopa kujipendekeza au Kulazimisha mawasiliaono.wanawake wakati mwingine ni vigumu kuwaelewa, kuna siku jamaa fulani job nimempa namba ya mfanyakazi mwenzetu wa kike maana aliiomba kwa sababu ana shida ya haraka
basi jamaa akampigia huyo mwanamke akamsalimia na kumwambia βsamahani naomba namba ya fulaniβ yule mwanamke akajibu βnani kakupa namba yanguβ
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa..
ππWangejua ulivyo mrembo wangejutia hilo vumbi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hell yeah'..!!Siku zote naamini kama mwanamke yupo serious hata pm yake ikiwa na watu elf na ushee haitokuwa na madhara yoyote but kama ndo ile tunaita kutafuta unachokosa hapo sasa ndo itakuwa shughuli kama hiziππ
Mkuu wadogo zangu ni sawa na wadogo zako..!Haohao nitajie hata wawili nilale nao mbele..