Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

😂😂😂 sis em kuja pande hii fastaa Carleen
Vumbi lanini..?
Mbona unataka kunijazia watu..??
Haya ni mambo ya wawili na humalizwa kwa uwili!
Unataka kutia ndimu kwenye asali utakosa utamu!

Kaka yako wa hiari kanirithisha mali..
Niwe wako wa hiari niachane na kina mwajuma shomari😉
Usiitapakaze bahati lawama,ukaja vunja kioo kwa kuchutama..
 
Back
Top Bottom