Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Uwii itakuaje sasa ndani ya nyumba
nitapunguza kidogo lakini sio sana[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwii itakuaje sasa ndani ya nyumba
Unataka nini sasa kenzy. Wacha nikae mbali sasa nisije kuitwa kuwadi.
kama wewe na huyo jamaa ni maintrovert, basi hata Humphrey slow slow nae atakua introvert hehee!
Ni palamaganda majanijaman naomba kujua maana ya pm au ndo ile post meridian.... Msaada plz
Yea ndo hyo hyo unaijua kumbejaman naomba kujua maana ya pm au ndo ile post meridian.... Msaada plz
Mradi tuelewane na tupendane inatosha
ngota nikatafute michango yako,sikukuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]kama wewe na huyo jamaa ni maintrovert, basi hata Humphrey slow slow nae atakua introvert hehee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka nini sasa kenzy. Wacha nikae mbali sasa nisije kuitwa kuwadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mradi tuelewane na tupendane inatosha
😂😂😂
Hapo ndo mnapokosea sasa! Badala adeal na mtu wake anadeal na jamaa. Ukute jamaa aliambiwa yuko singlendio na usichepuke tuu, maana kuchepuka inaumiza,leo nimeangalia clip fulani jamaa amemfuma mke wake na baharia chumbani, jamaa akaanza kumnyonga yule baharia kwa kumpiga loba🤣
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] mwee nimeona comments za baadhi ya watu niliowahi kuwapa hayo majibu, nikiyaandika hapa watajijua ni wao daah.
Hahah!mimi kule nimestaafu rasmi tutakua tunakutana huku, ila ujitahidi uwe unaongea
Sent using Jamii Forums mobile app