Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Kama Nina Nia ya kukutongoza nakuja directly TU Kama Sina ndio hapo braa braa nyingi TU tupige story siku ziende na s kila anaekuja pm anataka akugegede wengne hupenda muunge urafiki na kushauriana

Sasa mwingne akiombwa namba anajua atatekwa au kukegedwa

kilicho akilini kitumie
 
Baada ya kupitia comments zilizotangulia,
Nimegundua sio kuwa wadada hawataki pm, bali kuna pm za watu wangewish wazipate ila hawaji, au wakija sio kama walivyotegemea, na wengine wanaoenda pm wanatumia wrong approach,
Basi wanaume wazangu tumieni approach nzuri, na ukikataliwa pm usimtukane, chill na yaishie hukohuko,
Kwa wadada wale mnaowish wawafuate pm na hawaji, basi tumieni ile ladies first
 
...WENGINE PM ZETU TUNASHARE MAVITU YA KIBAHARIA ZAIDI (LINKS) WAJAUBA WANAELEWA HAHA ILA HATUHANGAIKI NA SKETI ZA HUKU


HAHAHA YANI MKIFATWA 80% WENGI WANATAKA PAPUCHI HIVYO MKIWAPA MAJIBU TOFAUTI NA MATARAJIO YAO LAZIMA WASEPE VUMILIENI TU
 
Nilikuwa nakutafuta sana.

Waswahili wanasema kama ni sheikh basi alibadiri rangi ya kanzu watu wakampotea.

Sure nilikutafuta mno.
Mpango upo pale pale ni wewe tu mama.
Haha,
Kidizaini umeanza kunichocha, nimependa hako ka msemo ka waswahili.. Basii mwenzio nipo Jana, Leo na hata kesho.!!

Afadhali kama ka mpango bado ni endelevu.. Ngoja tu wafungue vyuo harakati zianze.!!
 
Hahahahaa. Marhabaaaa nimeipokea shikamoo yako mdogo. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Kama mimi tu mdogo wangu wajua vile nakupendaga pia. 😍
dada naomba kukuambia kuwa hapa nimesharinga na kunata and indeed you're the reason, kesho kama hata nitakusalimia sijui.!
 
Nakuelewa,
Huwa naamini hivyo pia, si kila anayekuja anakuja kwa nia ovu.! Watu wazuri wapo hivyo na wabaya pia.!!
 
Absolutely,
Umeongea kweli tupu, kila siku nalia na 'approach'..!! Hakuna PM isiyojibiwa ukitumia approach nzuri.! Wafundishe hao wenzio baadhi yao hawajielewi kiukweli.!
 
...WENGINE PM ZETU TUNASHARE MAVITU YA KIBAHARIA ZAIDI (LINKS) WAJAUBA WANAELEWA HAHA ILA HATUHANGAIKI NA SKETI ZA HUKU


HAHAHA YANI MKIFATWA 80% WENGI WANATAKA PAPUCHI HIVYO MKIWAPA MAJIBU TOFAUTI NA MATARAJIO YAO LAZIMA WASEPE VUMILIENI TU
Wafike salama waendako, mwisho wa siku maisha ni lazima yaende walaqhi'.!!
 
Hahaha..!
Mkuu una mbinu walaqhi'.! Naomba waige mfano wako.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…