yo appreciated here Mr. Mnazareth..!!Haha
We speak the same language!!n that is the very good thing!!
I very much appreciate your honesty!!
Sent using Jamii Forums mobile app
bora umekujaHahaha..!!.
Lenie mdogo wangu yamekukuta yepi eti..?
😂shem mimi naweka hiyo pisi ndani kabisa maana namuelewa sana
si fail popote shem,amenitilia shaka bila sababu, emu nisaidie kumuuliza sababuHaha..
Mbona mdogo wangu kaanza kukutilia shaka unafeli wapi Shem?
Me too kwakweli, waendelee kua wazuri na wema hivyo hivyoabsolutely,
Ninao marafiki wazuri tu na wastaarabu.!!
Kweli sis huyo mtu aki nna waswas nae. Muache tuHaha..
Mbona mdogo wangu kaanza kukutilia shaka unafeli wapi Shem?
Sababu unaijuasi fail popote shem,amenitilia shaka bila sababu, emu nisaidie kumuuliza sababu
babay mama emu itaje basi😍Sababu unaijua
🥰pesa zitapita lakini penzi letu litaishi mileleNmemkimbia hajanitumia na ya kutolea sis😂😂