Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Kwa nini huamini Carl, ndio hivyo sijui nibadilishe approach au nifanyaje!!
Hapana, kuna watu huwa wana heshima zao tu hivyo ni ngumu sana wachuniwe, labda kama approach yako ilikuwa tofauti na matarajio ya mlengwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…