Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hongereni sana ambao pm zenu zinafanya kazi wengine toka tufungue account miaka sasa zipo vile vile Kama tulivyokabidhiwa account na jf hata salamu tu kutoka kwa moderators hakuna[emoji848][emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana upendeleo sana watu wa humu. Hata mimi sijawahi kutumiwa pm, ngoja niizindue kwa kukutumia wewe mpendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…